Wadau habari za wakati huu?
Naomba ushauri kuna jambo linanitatiza.
Miaka kadhaa iliyopita nilipanga nyumba moja hivi hapa mjini, mwenye nyumba ile alikuwa ni rika langu na mkewe pia yaani vijana, wakati huo wao wana mtoto mmoja. Niliishi nao vizuri tuu, japo mume sikuwa nae karibu zaidi ya tuu ni baba mwenye nyumba wangu, ila mkewe alikuwa mkarimu sana kwangu.
Imepita miaka kadhaa tangu nihame pale nakuja kutana na huyo dada, ananipa taarifa mumewe alifariki na ndugu wa mume walimfukuza kutoka katika nyumba hiyo kwani kumbe ilikuwa ni ya urithi. Tumekuwa na mawasiliano ya karibu ya simu kama mtu na shemejie.
Wakuu tatizo huyu bibie anataka nimpe raha, huku akijua fika sitamuoa kwani nina familia. Nipo njia panda nimle au nimpotezee? Je nikimla alafu nikamuacha nitakuwa nimemsaidia kumpunguzia ukame au nitamuumiza?
Ushauri tafadhali
Naomba ushauri kuna jambo linanitatiza.
Miaka kadhaa iliyopita nilipanga nyumba moja hivi hapa mjini, mwenye nyumba ile alikuwa ni rika langu na mkewe pia yaani vijana, wakati huo wao wana mtoto mmoja. Niliishi nao vizuri tuu, japo mume sikuwa nae karibu zaidi ya tuu ni baba mwenye nyumba wangu, ila mkewe alikuwa mkarimu sana kwangu.
Imepita miaka kadhaa tangu nihame pale nakuja kutana na huyo dada, ananipa taarifa mumewe alifariki na ndugu wa mume walimfukuza kutoka katika nyumba hiyo kwani kumbe ilikuwa ni ya urithi. Tumekuwa na mawasiliano ya karibu ya simu kama mtu na shemejie.
Wakuu tatizo huyu bibie anataka nimpe raha, huku akijua fika sitamuoa kwani nina familia. Nipo njia panda nimle au nimpotezee? Je nikimla alafu nikamuacha nitakuwa nimemsaidia kumpunguzia ukame au nitamuumiza?
Ushauri tafadhali