Agnes Benedicto
Member
- Dec 6, 2016
- 78
- 51
Imekutokea nini???? Coz most ya wanawake maskini ni wavumilivu na wakipenda wanamaanisha, bt huo ni mtazamo wako tu!!!!!!
Asilimia kubwa ya wanawake masikini wengi hawajui nini maana ya ndoaKwahiyo mimi niliyemaliza la saba B kuolewa na engineer ni bahati nasibu?
Hahahaha huyo hakuwa mwãnamke bali ni mwizi.Mkuu...mwanamke maskini utamfanyia vitu vingi lakini hariziki...unaweza ukamfanyia shopng Leo..kesho ikatoka fashn mpya yuko lazi agawe penz kwa Jamaa mwingine ili tuu apate anacho kitaka
Mkuu jaribu kutumia lugha ya ustaarabu ,muelekeze taratibu atakuelewaMtoa mada fala kweli akili huna KBS.....ukitedwaa kaa nyumbani tuliaaaa siyo kuandika ushuzi km huuu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
sio kweli.
Uwa mnawasifia wazuri kwny 6 kwa 6 leo mmewageuka ten wanaume vigeugeu sana nyieeee mptuuuuMkuu kweli hasa hawa wa kutoka uswazi ni nuksi tupu na utajuta Kuwa nae
Pole mimi ni mwanaume lakini kusema wanawake masikini wasaliti hawana mapenzi ya kweli nakataa.Habar wakuu.....
Utafiti nilio ufanya Mimi katika mapenzi,,nimegundua wanawake wanaoongoza kwa usaliti ni wale wanaotokea familia za kimaskini
Mwanamke maskini yeye huwa na idadi kubwa ya wanaume..ilimladi awe na seemu nyingi za kulilia shida zake...
Mwanamke maskini hana upendo Wa kweli....unaweza ukawa nae kwenye mahusiano vzr,,lakini akitongozwa na Jamaa anae kuzid kipato hata kidogo tuu,mwanamke anahamisha penz.
Wanawake maskini wanaongoza kwa usaliti,,kubambikiza mimba wao mda mwingi wanawaza papuch zao ndio mkomboz wao...
Mwanamke maskini ninae mzungumzia Mimi ni yule anaetokea ktk mazingira magumu kiuchumi (familia duni) nazungumzia chimbuko alikotokea...
Wanawake waliotoka kwenye familia za wastani ,,hao hawana matatizo mengi....wanajua nini maana ya mapenz na nini maana ya maisha.
Tunapotaka kuoa tuangalie na familia wanakotoka wanawake zetu ili kuepuka matatizo
BORA MWANAUME ATOKEE FAMILIA YA KIMASKINI SIO MWANAMKE
Nilitolea mfano tuu...lakini kama ww mwanamke wako ni anaetoka kwenye umaskini..na. Bado hujaona madhaifu yake....oa kabisa. Na utuletee mrejeshoHahahaha huyo hakuwa mwãnamke bali ni mwizi.
Lakini sidhani km ulimuelezea situation yako. Usikute ulimwambia unamiliki ges ya mtwara.
Sana sana hii mitandao ya kijamii hususani IG ndio inawapelekesha sanaMkuu...mwanamke maskini utamfanyia vitu vingi lakini hariziki...unaweza ukamfanyia shopng Leo..kesho ikatoka fashn mpya yuko lazi agawe penz kwa Jamaa mwingine ili tuu apate anacho kitaka
Nadhani umekoseaaa katika uandishi wako labda ulikuwa na maana ya umaskini wa kifikra ila sio umaskini kipato. Kwa sababu katika jamii ambayo inaheshimu mahusiano ni jamii ya watu wa chini kwa maana furaha yao kubwa ni mapenzi. Ila jamii ya kati na juu hizi ndo hufanya mapenzi kuwa biashara aidha kukuza kipato Chao ama ikawa ndo ajira rasmi.Habar wakuu.....
Utafiti nilio ufanya Mimi katika mapenzi,,nimegundua wanawake wanaoongoza kwa usaliti ni wale wanaotokea familia za kimaskini
Mwanamke maskini yeye huwa na idadi kubwa ya wanaume..ilimladi awe na seemu nyingi za kulilia shida zake...
Mwanamke maskini hana upendo Wa kweli....unaweza ukawa nae kwenye mahusiano vzr,,lakini akitongozwa na Jamaa anae kuzid kipato hata kidogo tuu,mwanamke anahamisha penz.
Wanawake maskini wanaongoza kwa usaliti,,kubambikiza mimba wao mda mwingi wanawaza papuch zao ndio mkomboz wao...
Mwanamke maskini ninae mzungumzia Mimi ni yule anaetokea ktk mazingira magumu kiuchumi (familia duni) nazungumzia chimbuko alikotokea...
Wanawake waliotoka kwenye familia za wastani ,,hao hawana matatizo mengi....wanajua nini maana ya mapenz na nini maana ya maisha.
Tunapotaka kuoa tuangalie na familia wanakotoka wanawake zetu ili kuepuka matatizo
BORA MWANAUME ATOKEE FAMILIA YA KIMASKINI SIO MWANAMKE
How?Emoj zimeongea
Engineer? La saba huishia kuolewa na manyoka wale wanakoroga zege. 4m4 huolewa na mwalimu wa primaryKwahiyo mimi niliyemaliza la saba B kuolewa na engineer ni bahati nasibu?