Katika vitu ambavyo sitokuja kufanya makosa kama kuoa mwanamke asiyesoma (mwenye elimu ndogo) pia msichana maskiniHabar wakuu.....
Utafiti nilio ufanya Mimi katika mapenzi,,nimegundua wanawake wanaoongoza kwa usaliti ni wale wanaotokea familia za kimaskini
Mwanamke maskini yeye huwa na idadi kubwa ya wanaume..ilimladi awe na seemu nyingi za kulilia shida zake...
Mwanamke maskini hana upendo Wa kweli....unaweza ukawa nae kwenye mahusiano vzr,,lakini akitongozwa na Jamaa anae kuzid kipato hata kidogo tuu,mwanamke anahamisha penz.
Wanawake maskini wanaongoza kwa usaliti,,kubambikiza mimba wao mda mwingi wanawaza papuch zao ndio mkomboz wao...
Mwanamke maskini ninae mzungumzia Mimi ni yule anaetokea ktk mazingira magumu kiuchumi (familia duni) nazungumzia chimbuko alikotokea...
Wanawake waliotoka kwenye familia za wastani ,,hao hawana matatizo mengi....wanajua nini maana ya mapenz na nini maana ya maisha.
Tunapotaka kuoa tuangalie na familia wanakotoka wanawake zetu ili kuepuka matatizo
BORA MWANAUME ATOKEE FAMILIA YA KIMASKINI SIO MWANAMKE
Kwenye mia moja labda wapo wawili ila 98 wote wanatabia kama zilizotajwa na mleta mada.Samahani mkuu si wote, uliyempata hakukupenda tu, wako maskini wanaoheshimu ndoa zao na wakaheshimika.
Mwanamme maskini katika mapenzi wa kuogopwa sana mshamba mshamba. Siku akizifuma pesa kidogo tu hata kuku atatamani kubaka
sio kweli.Waswahili wanasema kosea vyote lakini sio kukosea kuoa .Mkuu kweli hasa hawa wa kutoka uswazi ni nuksi tupu na utajuta Kuwa nae
ndege wafananao huruka pamojaSasa sisi wa Kwamtogole tuolewe na nani jamani?
Ujumbe Wang uliwalenga wanawake kama wew Wenda mtabadilika
Jiwe gizani hiyo inaitwa.Kwa hiyo Masaki tutaendelea kuiandika kwenye key boards siyo?ndege wafananao huruka pamoja
Wa uswazi waoane na waswazi wenzao kwa kuwa wataweza kuvumiliana tabia zao.
Mwanamke masikini ana uza utu wake kwa urahisi sana kuliko yule mwenye uwezoSio kweli mkuu maskin ndo mwenye mapenz ya dhati lambda ulikutana na kicheche
Kwahiyo mimi niliyemaliza la saba B kuolewa na engineer ni bahati nasibu?Mwanamke masikini ana uza utu wake kwa urahisi sana kuliko yule mwenye uwezo
Kwanza kitendo cha mwanamke kuwa na elimu yake kichwani na uwezo wa kipesa hiyo inatosha kabisa kutomendewa mendewa hovyo na wanaume.
Ila sio umaskini ndo chanzo nakataa na kupinga mwanamke wa kutaka kujua kila kitu ndo mbayaaa sanaa.BORA MWANAMKE MASKINI KULIKO MJINGA NA MPUMBAVU WA MAPENZI.Habar wakuu.....
Utafiti nilio ufanya Mimi katika mapenzi,,nimegundua wanawake wanaoongoza kwa usaliti ni wale wanaotokea familia za kimaskini
Mwanamke maskini yeye huwa na idadi kubwa ya wanaume..ilimladi awe na seemu nyingi za kulilia shida zake...
Mwanamke maskini hana upendo Wa kweli....unaweza ukawa nae kwenye mahusiano vzr,,lakini akitongozwa na Jamaa anae kuzid kipato hata kidogo tuu,mwanamke anahamisha penz.
Wanawake maskini wanaongoza kwa usaliti,,kubambikiza mimba wao mda mwingi wanawaza papuch zao ndio mkomboz wao...
Mwanamke maskini ninae mzungumzia Mimi ni yule anaetokea ktk mazingira magumu kiuchumi (familia duni) nazungumzia chimbuko alikotokea...
Wanawake waliotoka kwenye familia za wastani ,,hao hawana matatizo mengi....wanajua nini maana ya mapenz na nini maana ya maisha.
Tunapotaka kuoa tuangalie na familia wanakotoka wanawake zetu ili kuepuka matatizo
BORA MWANAUME ATOKEE FAMILIA YA KIMASKINI SIO MWANAMKE

Kivipi yani mkuuKwa hiyo Masaki tutaendelea kuiandika kwenye key boards siyo?
Mkuu...mwanamke maskini utamfanyia vitu vingi lakini hariziki...unaweza ukamfanyia shopng Leo..kesho ikatoka fashn mpya yuko lazi agawe penz kwa Jamaa mwingine ili tuu apate anacho kitakaKwanzaa tukuulize mkuu mtoa uzi umekutana na mwanamke wa namna hiyo? Kama jibu ni YES, manake ulifanya uzembe kuwa nae, au kisa alpendeza siku io unamtokea??
Anyway, ilibidi kufight hard ñ hard kumtunzaa, maana kama mpaka umefka point ya kuona hayo maana yake ulishindwa kuplay part yako.
Ila kama na nyie wadada mliotajwa kwenye huu uzi mpo ebu mlegezee kdg sio mpk muandikwe humu Jf.
![]()
![]()
![]()
![]()