Mwanamke Masharti ziachie form za mikopo benki

Mwanamke Masharti ziachie form za mikopo benki

''Channel kutoka BBC kwenda Deutche Welle
sijazoea kushikwa huko,,,Sasa ushikwe Pua au?
Yaani nikurupuke tu,bila Maandalizi, nakurukia kama nadandia Bajaj...kweli?
Mmeo/Boyfriend anakalishwa chali kama anasubiri Oparesheni ya Appendix
Mapenzi yako yana masharti kama Dokta Manyaunyau
mnapepeta ye anauliza maswali tu kama OCD wa Polisi Mabatini
MWANAMKE UMENISIKIA?MASHARTI ZIACHIE FOMU ZA MKOPO WA BENKI''

mama la mama Kweli we kiboko... nimecheka hadi mbavu zinaniuma walahi... Hinhinhiiiii
 
ha ha ha ha ila kuna ukweli umegusa panapohusika tutajirekebisha.
 
Ni mgegedo wa namna gani unaouzungumzia wewe?
si kusex? hata sikumbuki aisee sijui hata kama naweza tena.hivi hakuna ka chuo hivi hata ka short course?
long time sana aisee...kuokoka bana
 
Hahahaaaaaaaaaaaaaaa! LEO MMEAMUA MUWAANIKE WAKE ZENU HADHARANI? SI MNAJITIAGA MY WFE IS THE BEST HUKU IKIPITA INYEEEEEE KUBWA USHASIMAMISHA.?

Life and relationship arent that easy! Hata ukimpleka Dubai ana cheat vile vile! Hii dunia ilipofikia imebakia Mola kuitia kibiriti tu baaaaaaaaaaaaass! Maana watu hawajielewi.
 
i can see, jatihada za Lala 1 zimefanikiwa, watu wameanza kufaulu "paper". congrats up yu majesty.
 
Last edited by a moderator:
mtuwache tupumue
dah sijagegedwa miaka mingi hata sikumbuki hizi mambo

We smile. Mbona mchokozi? Uja gendwagendwa usiku nyingi? naomba tuwasiliane kwa kazi maalum.
 
WANAUME NI KAMA PAKA, hata umuwekee bili ya steki buchani akiona panya atakimbiza tu....
Nawanawake kama Ng'ombe hata umtandikie zuria atalinyea tu wao nipale wanapotaka kutokana na hisia zao basi.
 
Hata mimi ningekuwa na mke kama huyo ningecheat.
 
Back
Top Bottom