Mwanamke mafiga matatu...

Lisemwalo lipo aisee!!! wenyewe wanasemaga eti figa moja halisimamishi chungu... " kama ni uongo we unadhani huo msemo umetoka wap?"
 
maana nasikia na vigodoro vinawaharibu sana hawa watu!!
  • Hapo kwenye "vigodoro" nimeachwa njia panda. Ufafanuzi tafadhali
 
Figa moja linatosha kwa zama za sasa za ukimwi
 

Bold: kwa wazaramo wa ukweli hawawezi kukujibu hilo swali, ni kinyume na mafundisho yao.

nina bahati mbaya sana ya kukutana na ndoa za wazaramo zenye matatizo ya mafiga matatu, ambapo hata baadhi ya wanawake wa makabila mengine wanafanya. may be kuna connection kati ya utamaduni wao na hizo tabia. kama wapo waje wajisemee wenyewe
 
Zamani ilikuwa ni matatu tu, ila sasahivi yameongezeka yamekuwa zaidi ya matatu hata kufikia 10... Na si kwa wazaramo tu kama zamani bali ina cover makabila yote sasa.
Hii imeleta ahueni kubwa sana kwenye ndoa na mahusiano yenye stress i.e. usaliti, kipato duni na kushindwa kuridhishana kunako 6*6!
 
Sio wazaramo tu! Ndo habari ya mjini kama unajitambua!!!!!!!!!!!
 
Sio wazaramo tu! Ndo habari ya mjini kama unajitambua!!!!!!!!!!!

hahaaaa!! lara 1 ... you made my morning!! yani ina maana mwanamke yeyote anayejitambua lazima awe na figa tatu?

that means wewe unao kama wanne hivi? si ndiyo?

haya ngoja tuone, husband atanunua gari, ex boyfriend-- mafuta, jamaa wa mtaa wa pili--- tyre repairement, boss kazini kule,--- lunch kwa sana,---- mangi pale dukani--- offer za vocha n.k..

aisee umeua bendi!!
 
Last edited by a moderator:
Ni noma hawa mabinti wa kizaramu na kindengereko..unamla sa tatu mpaka sa saba mchana anaoga anakuaga anaenda kwa kaka mtoto wake leo anachezwa akiondoka anaenda gesti hapo mbagala kuu analiwa tena mpaka saa moja jioni..akirudi usiku anaoga anakupa tena ..kesho yake analala anapumzika kibarazani siku nzima..keshokutwa yake ngoma kwa binamu yake mbagala maji matitu kwenda kuliwa tena..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…