Mwanamke kuwa na kitambi

Je mwenye tumbo lililolalia chini wastani wa kufunika robo ya urefu wa mapaja anaweza kupunguza kwa kufanya mazoezi?
 
Je mwenye tumbo lililolalia chini wastani wa kufunika robo ya urefu wa mapaja anaweza kupunguza kwa kufanya mazoezi?

Mazoezi kila kitu. Ndio maana Simba hawana vitambi.
 
Mazoezi kila kitu. Ndio maana Simba hawana vitambi.

Na mwenye matiti makubwa sana kupita kawaida kitambi kikibungua si atatamani na kifuani kipungue? Yeye hana hata la kumshauri.
 
Na mwenye matiti makubwa sana kupita kawaida kitambi kikibungua si atatamani na kifuani kipungue? Yeye hana hata la kumshauri.

Kuhusu matiti sina utaalamu labda amuone doctor Rahabu au aende MEWATA.
 
Kuhusu matiti sina utaalamu labda amuone doctor Rahabu au aende MEWATA.

Je kama mtu ni mnene hasa kwa mwanamke, akawa na makalio makubwa kila anapopita watu wanageuza shingo zao. Ghafla akakonda makalio yakapotea, akawa kama namba 1 tukiachilia mbali matitizo ya kiafya na mazoezi kuna kitu kingine kinachangia kupungua kwa mwili?
 
Na watu wameshaanza kuku consult...sijuhi unacharge kiasi gani @ Annael?


 
Unakuta mwanamke hata hajaolewa lakini anatumia madawa ya uzazi wa mpango na hasa vidonge vya kuzuia mimba vinaleta vitambi
 
Na mwenye matiti makubwa sana kupita kawaida kitambi kikibungua si atatamani na kifuani kipungue? Yeye hana hata la kumshauri.

mtindi maneno ingne hiyo inatafutwa sana!
 
Wakuu mwanamke mwene ktambi cmuangaliag mara mbili.... na hasa ukimvua nguo ndo anatia kinyaa kabsaa hata awe na shape ya maana kiruuuuuuuu
 

Kwa comment yako tu tayar una presure wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…