Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,951
Mimi nimekulia kijijini usukumani sijawahi kuona mwanamke mwenye kitambi.
Baada ya kuja hapa Dar nilishangaa sana kuona wanawake wenye vitambi.
Ikabidi nianze kufuatilia kwanini wanawake wanavitambi.
1. Pombe hasa beer ndio zinawapa vitambi wanawake.
2. Mwanamke akijifungua huwa anafumgwa tumbo kwa mda fulani lakini sasa hapa mjini hawafungwi.
3. Kazi wanazofanya wengi wenye vitambi ni za kukaa tu. Wanakuwa hawana mazoezi. Kijijini mwanamke anafanya kazi ambazo ni sehemu ya mazoezi.
Ni hayo tu.
Baada ya kuja hapa Dar nilishangaa sana kuona wanawake wenye vitambi.
Ikabidi nianze kufuatilia kwanini wanawake wanavitambi.
1. Pombe hasa beer ndio zinawapa vitambi wanawake.
2. Mwanamke akijifungua huwa anafumgwa tumbo kwa mda fulani lakini sasa hapa mjini hawafungwi.
3. Kazi wanazofanya wengi wenye vitambi ni za kukaa tu. Wanakuwa hawana mazoezi. Kijijini mwanamke anafanya kazi ambazo ni sehemu ya mazoezi.
Ni hayo tu.