Hajui kama angekuwa hatakiwi angeshaambiwaUkiona amekaa kimya ujue amekubali,we endelea kukazia
Hahaha nimewaza kwa sauti![]()
![]()
speaking from experience
Hivi me na wewe tuna ugomvi gani etiHebu nipe yake nimuulize kwanini anakufanyia hivyo
MmmhUkiona amekaa kimya ujue amekubali,we endelea kukazia
Ukiwasiliananae sianatoa ushirikiano wa kutosha?Huyu mtoto
mim nimeanza kuwasiliana naye tangu mwezi wa 11 mwaka jana
mwaka huu ndio nataka kutupia nyavu.
Ila ni nini quote zangu hujibu niambie nilipokosea niombe msamaha mimi![]()
![]()
hatuna ugomvi mama
Nini sasa
OyoooooooooHajui kama angekuwa hatakiwi angeshaambiwa




ObviousHahaha nimewaza kwa sauti
Eti dada akikaa kimya na ye anakaa kimya badala aendelee kusumbua aone kama hatakubaliwaHajui kama angekuwa hatakiwi angeshaambiwa
vingine kujiongeza tu,akikaa kimya inatakiwa apate sms ya muamala au ya kuombwa watoke out kidogo,huko out akishindwa kumaliza mchezo basi ni uzembe wake tu mwenyeweYeahUkiwasiliananae sianatoa ushirikiano wa kutosha?
Dah pole sijaziona nimekuwa sipati notifications ngoja niingie kwa browser nione. Pole mchuchuIla ni nini quote zangu hujibu niambie nilipokosea niombe msamaha mimi
AiseehEti dada akikaa kimya na ye anakaa kimya badala aendelee kusumbua aone kama hatakubaliwavingine kujiongeza tu,akikaa kimya inatakiwa apate sms ya muamala au ya kuombwa watoke out kidogo,huko out akishindwa kumaliza mchezo basi ni uzembe wake tu mwenyewe
Mmmh![]()
![]()
hatuna ugomvi mama
Unanifurahisha sanaNini sasa