BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,341
HILI NDO JIBU SAHIHI NA MJADALA UFUNGWE.Silence means rejection or she still have some respect for you.
so dont spoil that.
HILI NDO JIBU SAHIHI NA MJADALA UFUNGWE.Silence means rejection or she still have some respect for you.
so dont spoil that.
NambieAiseeeee
Nataka kujifunz kitu toka kwako![]()
kumbe upo?
Hahah!!Sawa
Naomba maombi yako
mwenyewe nko kwenye process za kumfukuzia mtoto mmoja wa humu humu jf.
Wengine wana majini ambayo hayapendi hivyo vitu, Mara nyingi huwa wana majini mahaba. Huwa hawataki kabisa kusikia hayo mambo,ukimuanza tu ushamtibua jini lakeHabari zenu wakuu,
Nielekee kwenye mada, nimekuwa nikimtongoza mwanamke kwa muda mrefu sasa lakini amekuwa hanijibu, mara nyingi huwa tunapiga stori za kawaida lakini nikifika sehemu nikiingiza mada ya mapenzi hukaa kimya pia hunipotezea kwa muda wa siku tatu hadi wiki kama sijamuanza kumuongelesha.
Huwa najiuliza ukimya wake unamaanisha nini?
Tuombeane mafanikioHahah!!
Kila lakheri mkuu hakuna kinachoshindikana
Kitu gani ndugu?Nataka kujifunz kitu toka kwako
Jins ulivyompata shunieKitu gani ndugu?
Kujiamini tu ndio mpango mzima alafu usikurupuke mambo yanataka taratibuTuombeane mafanikio
Nkiukosa huo utelezi nitakosa aman sana.
Ni wakat gani tunaweza kusema mtu amekulupuka ?Kujiamini tu ndio mpango mzima alafu usikurupuke mambo yanataka taratibu
Jiongeze wewe mambo hizo siku hizo hamna kama mtu hakupendi anakwambia kabisa msipotezeane mdaNambie
Ni kweli nyie wagumu kutoa majibu kwamba mko tayar kugegedwa.?
Huyu mrembo mimi nikama zawadi tu nilishushiwa na Sir God mkuu sikufata sheria na kanuni za mtongozo, nature iliselect yenyeweJins ulivyompata shunie
Nipo kwahiyo ulikuwa unaniteta unajua sipo![]()
kumbe upo?
Sio wote wanaweZa kutoa jibu kavu kavu hivoJiongeze wewe mambo hizo siku hizo hamna kama mtu hakupendi anakwambia kabisa msipotezeane mda
Kujiamini tu ndio mpango mzima alafu usikurupuke mambo yanataka taratibu





mjazeeHuyu mrembo mimi nikama zawadi tu nilishushiwa na Sir God mkuu sikufata sheria na kanuni za mtongozo, nature iliselect yenyewe






Huyu mrembo mimi nikama zawadi tu nilishushiwa na Sir God mkuu sikufata sheria na kanuni za mtongozo, nature iliselect yenyewe



Ananijaza ujasirimjazee