Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Basi fanya vile ambavyo unaonaSio wote wanaweZa kutoa jibu kavu kavu hivo
Basi fanya vile ambavyo unaonaSio wote wanaweZa kutoa jibu kavu kavu hivo
SawaBasi fanya vile ambavyo unaona
Pale tu anapopata nafasi ya kuwasiliana na mrembo na kuanzisha mtongozoNi wakat gani tunaweza kusema mtu amekulupuka ?
Huku sio kukuteta bali ni kukuongeleaNipo kwahiyo ulikuwa unaniteta unajua sipo

Huyu mtotoPale tu anapopata nafasi ya kuwasiliana na mrembo na kuanzisha mtongozo
Asante sana mkuu
hongera sana
MhHuku sio kukuteta bali ni kukuongelea![]()
Unacheka mtu kukosa utelezi
Halafu unajua we ni kaben10 jamani kuna maswali mengine hutakiwi kabisa kuulizaUnacheka mtu kukosa utelezi
AsanteeKuongelewa ni baraka pia
Maana watu wanatambua uwepo wako
Nafanya kusudHalafu unajua we ni kaben10 jamani kuna maswali mengine hutakiwi kabisa kuuliza
MhNafanya kusud
nizoee tu
Mbona unaguna
Ukiona amekaa kimya ujue amekubali,we endelea kukazia
speaking from experience