Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,082
- 10,455
Mmhh hapo chunguza mkuu.unaibiwaHivi mchumba wako anapokua busy for hours usiku mnene...unapiga simu yani kama haioni vile..baadae unapiga inapokelewa anakwambia ndio nilikuwa nakupigia kwani kuna shida mi kuongea na watu...kama ni wewe utamuelewaje kwa mfano mkuu