Mwanamke kushindana na mwanaume wake ni sawa?

Mwanamke kushindana na mwanaume wake ni sawa?

Hivi mchumba wako anapokua busy for hours usiku mnene...unapiga simu yani kama haioni vile..baadae unapiga inapokelewa anakwambia ndio nilikuwa nakupigia kwani kuna shida mi kuongea na watu...kama ni wewe utamuelewaje kwa mfano mkuu
Mmhh hapo chunguza mkuu.unaibiwa
 
Back
Top Bottom