Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,797
mbona hasemi anavoifaidi k ya buree
kwani hizi k zimeandikwa wapi ni za kununua....
mbona hasemi anavoifaidi k ya buree
Kashfa nisiyotarajia kuwa nayo
usiombee yakukute kiongozi...
Kijana kama unajijua kuwa huna malengo na mtoto wa watu ni bora uachane nae tu...na uende kimboka ukamalize shida zako...kuliko kuwarubuni mabinti za watu kwa ahadi za uongo na kumpotezea muda wake..jambo ambalo hata wewe umgekuww kwenye nafasi ya mwanamke usingependa kufanyiwa.....huyo binti hakuja hapo kama kichaa bali kaitwa tena kapanda basi kutoka kwao..mpakao kwako...na baada ya kumfunua unamuona hana thamani tena na hastahili kuwa na wewe....huu nao ni unyama kama unyama mwingine...na mimi naamini kuwa haya mambo lazima yatajirudia kwenye maisha yako...kama sio kwa wanao wa kike au hata kwa dada zako....UTU KWANZA.....
Ningekuwa na uwezo wa kulike mara mia ningelike hii.
On the other side
Huyu dada nae hana kwao au?? Hivi unanzaaje kukaa kwa mtu hakutaki hata kama ulikosea ukaanza nae mahusiano?
Kuna kitu niliwahi jisemea
Wanawake wengi huwa tunajipa kazi za Mungu, tunaamini tunaeza badilisha maji yakawa divai kama Yesu.
Imani yetu ni kubwa hadi Mungu mwenyewe anashangaa ahahhahah
Najua ni wewe mwenyewe.. Mpe task,mtume mkoani,mpe hela ya kutosha kidogo..akiondoka wewe, tafuta nyumba nyingine,hama haraka sana,halafu badilisha simu, akirudi anakuta umehama na simu na haipatikani.Atajiongeza mwenyewe
Ningekuwa na uwezo wa kulike mara mia ningelike hii.
On the other side
Huyu dada nae hana kwao au?? Hivi unanzaaje kukaa kwa mtu hakutaki hata kama ulikosea ukaanza nae mahusiano?
Kuna kitu niliwahi jisemea
Wanawake wengi huwa tunajipa kazi za Mungu, tunaamini tunaeza badilisha maji yakawa divai kama Yesu.
Imani yetu ni kubwa hadi Mungu mwenyewe anashangaa ahahhahah
Hamuna imani yeyote, ni mna makengeza tu.