Mwanamke kung'ang'ania kwa mwanaume

Mwanamke kung'ang'ania kwa mwanaume

Mbona hiyo ndo poa? Akienda kwa huyo rafkie ndo ntolee... Ni mwendo wa kurudi usiku na hakuna kukubali aingie.

Wakati huo awe na RB kabisa maana kipigo huyo demu kinamuhusu aking'ang'ania kuingia ndani.[/QUOTErafikiye ni mtaa mmoja na jamaa..
 
Umenena vizuri, kwanza alivyokuwa analala nae kama mke alitegemea nini????? huyo dada akomae hapohapo, tabia yakuchea watoto wa watu akome. natamani ningemjua huyo bint kwa kwel.

Mabinti wanaong'ang'ania ndani ni matatizo maisha yote. Huyo jamaa asikubali kabisa kumuoa. Atajuta!!
 
Mpige mashine kwa kumpelekea moto na style ngumu kwa kumbinjua sawa sawa bila kumridhisha...mwenyewe ataondoka!
 
Ahahahhaa ndo kashapata mke hivyo.

Mwenzie ameshajiwekea malengo,anakaa miezi 6 ili mahusiano yao yatambulike kama ndoa kiserikali alafu ndo ataondoka akajipange kuhamia kabisa!!! Mpe HONGERA zake.

Presumption of marriage ni Miaka miwili, soma section 160(1)(2) of Law of Marriage Act of 1971
 
mie nimemshauri akimbie gheto hata kwa wik hv..
 
kibaya zaid jamaa anademu wake mngine yuko masomoni huyu kamficha..

Hiyo mbaya. Kuwadabo si vema sana. Akae na mmoja wakishindwana ndo atafute mwingine.

All the same, shida iliyopo inaonekana jamaa ako (au ni wewe?) Ni muoga sana au ana huruma ya mshumaa.

Kama hawezi mbinu za kumuhamisha, ahame nyumba. Amwachie kila kitu isipokua nyaraka na nguo na vinavyobebeka at once.

Again ategee akiwa kaenda mahali then asepe zake mazima kwenda nyumba mpya.

Kama kawaida afunge nyumba na aache begi koridoni. After 3 months akachukue vitu vyake. Kwa kukosa ramani wala anaemng'ang'ania atajiendea tu. Akimtafuta hadi huko kupya ujue hilo jini!!
 
za asubui wakubwa..kuna jamaa yangu anaomba msaada ktk hili..kuna demu anamahusiano naye alimkaribisha geto tokea xmass sasa unaelekea mwez wa tatu demu haondoki na katoka mkoa mwingine,kila akimgusia suala la kuondoka demu anachukia na kujib usipangie safari ntapanga mwenyew mpaka saiv jamaa hajui afanye nn..msaada wenyu wakuu trick gan itumike yakifundi


Najua ni wewe mwenyewe.. Mpe task,mtume mkoani,mpe hela ya kutosha kidogo..akiondoka wewe, tafuta nyumba nyingine,hama haraka sana,halafu badilisha simu, akirudi anakuta umehama na simu na haipatikani.Atajiongeza mwenyewe
 
Najua ni wewe mwenyewe.. Mpe task,mtume mkoani,mpe hela ya kutosha kidogo..akiondoka wewe, tafuta nyumba nyingine,hama haraka sana,halafu badilisha simu, akirudi anakuta umehama na simu na haipatikani.Atajiongeza mwenyewe

mateso yote hayo ya kazi gani arifu....huyo dawa yake ni kuwa kikojozi kwa mda, kunywa maji ya yakutosha jioni then baadae dondosha kojo la nguvu. Lazima aondoke kesho yake, aking'ang'ania huyo mke bora arifu mpige pete anajua uvimilivu
 
Style za kuhamia hizo asubiri kutegeshewa...
Bora huyo kuna yule wa dizain za kusahau nguo moja moja mara anaachwa na viatu ujue kesho kutwa analeta BEGI ZIMA ndio wako huyo
 
za asubui wakubwa..kuna jamaa yangu anaomba msaada ktk hili..kuna demu anamahusiano naye alimkaribisha geto tokea xmass sasa unaelekea mwez wa tatu demu haondoki na katoka mkoa mwingine,kila akimgusia suala la kuondoka demu anachukia na kujib usipangie safari ntapanga mwenyew mpaka saiv jamaa hajui afanye nn..msaada wenyu wakuu trick gan itumike yakifundi

Sasa huyo rafiki yako kama alileta karufindi kwenye mwili wa mwenzie mpaka akafua na fiatu, unategemea nini?
 
za asubui wakubwa..kuna jamaa yangu anaomba msaada ktk hili..kuna demu anamahusiano naye alimkaribisha geto tokea xmass sasa unaelekea mwez wa tatu demu haondoki na katoka mkoa mwingine,kila akimgusia suala la kuondoka demu anachukia na kujib usipangie safari ntapanga mwenyew mpaka saiv jamaa hajui afanye nn..msaada wenyu wakuu trick gan itumike yakifundi

Ingekuwa mwanao/dadako ungemuulizia trick gani itumike
 
Amwambie besti yake ampigie simu usiku nae a save jina lake kwenye simu kama "boss edward" mfano. Kisha ampe taarifa za msiba kuwa kuna mtu job kafiwa. Sasa yeye inabidi asafiri ametumwa na ofisi kum support huyo mfanyakazi mwenzie na atasimamia taratibu zote za mazishi hajui atarudi lini. Yeye muda wote awe anaitikia sawa boss ntafanya hivyo. Ndio... ntaenda boss, ni mkoa gani? Kagera? Eeee halafu niunganishe na ile kazi ya mara?!sawa boss. Akikata tu simu awe na uso wa mbuzi asubuhi itabidi nikuache stendi nikukatie ticket inabidi nisafiri kama ulivyosikia kwenye simu. Nae aanze kupanga mizigo yake no discussion. Kazi kazi tu. Sana aana anasikitika kwa nguvu dah jamaa masikini...

Mkuu, umeua jadi huku kwangu, hapa nilipo natokwa na machozi kwa kicheko! na kweli hii ni jf duuuuh!
 
Wasafiri wote, aseme amepata safari ya kikazi ghafla. Ila kabla hajamwambia, siku mbili kabla amufurahishe ile mbaya. Tena hiyo kazi iwe uko anakotoka naaseme angependa kutambua anapotoka nakufahamu wakwe zake. Mwishowe, amtelekeze hukohuko!

Shida yote ya nini Mkuu ataishi kwa kudanganya mpaka lini?

Honest is the best policy my friend.
 
Hahahahahahaha.Gentlemen we are gathered here today to witness the union of....bla bla bla.....hiyo king bado kuvishwa tu...
Hahahaha maduu bana wanatrick za kivietnam
 
Back
Top Bottom