Amwambie besti yake ampigie simu usiku nae a save jina lake kwenye simu kama "boss edward" mfano. Kisha ampe taarifa za msiba kuwa kuna mtu job kafiwa. Sasa yeye inabidi asafiri ametumwa na ofisi kum support huyo mfanyakazi mwenzie na atasimamia taratibu zote za mazishi hajui atarudi lini. Yeye muda wote awe anaitikia sawa boss ntafanya hivyo. Ndio... ntaenda boss, ni mkoa gani? Kagera? Eeee halafu niunganishe na ile kazi ya mara?!sawa boss. Akikata tu simu awe na uso wa mbuzi asubuhi itabidi nikuache stendi nikukatie ticket inabidi nisafiri kama ulivyosikia kwenye simu. Nae aanze kupanga mizigo yake no discussion. Kazi kazi tu. Sana aana anasikitika kwa nguvu dah jamaa masikini...ebhane ni mtihan sana maana anasema nauli ipo kwenye mpesa ya demu tokea mwaka mpya..ila akiongelea tu safari demu anapanic..
Hii noma, na hao waki komaa wana komaa kweli
ebhane ni noma sana..full mtihan
Jamaa anakimbia majukumu hana lolote au demu mbovu sana ndio maana jamaa anaogopa kuoa
Amwambie mzazi anakuja kutoka kijijini kwa ajili ya matibabu, kwahiyo atafikia hapo na itakuwa so akiwepo maana hajamtambulisha rasmi mara tu akiondoka kurudi kijijini. Mambo aendelee, akiikubali hii basi ndo changa la macho na funguo abadilishe kabisa.
wadau ni majanga pia nimelengeshwa mimba na demu ka komaa ahamie kwangu kisa tu na maisha mazuri ushauri jamani
anza tabia ya kujikojolea kitandani, ataondoka mwenyewe. Harufu ya mikojo ndo itakayomfukuza
hakikisha wakati wa kukojoa unamkojolea upande wake wa kitanda. Make sure godoro nzima liloee, mkose pa kulala baadae
Akienda si ndo ameonda...tayari. chengine aweza kusema kuwa baba mwenye nyumba haruhusu vimada humu ndani maana alihamia bachelorjamaa kasema akimwambia anasafiri demu anamwambia ntaenda kwa dada flan ambaye wamejuana hukuhuku kuwa wametokea mkoa mmoja..hatak kuskia suala la kurud kwao..
mnaochangia humu hamjakaa vijijini au makusudi ??
baadhi ya maisha vijijini maisha magumu dada kaja town kila kitu ananunuliwa halafu trip za shamba hakuna wala kuchota maji lazima ang'ang'anie ningemjua huyo dada ningemshauri abaki tu kijijini maisha sio poa ccm wamewasahau huko tena ashike mimba haraka tu.
jamaa kasema akimwambia anasafiri demu anamwambia ntaenda kwa dada flan ambaye wamejuana hukuhuku kuwa wametokea mkoa mmoja..hatak kuskia suala la kurud kwao..