Mwanamke kung'ang'ania kwa mwanaume

Mwanamke kung'ang'ania kwa mwanaume

Wasafiri wote, aseme amepata safari ya kikazi ghafla. Ila kabla hajamwambia, siku mbili kabla amufurahishe ile mbaya. Tena hiyo kazi iwe uko anakotoka naaseme angependa kutambua anapotoka nakufahamu wakwe zake. Mwishowe, amtelekeze hukohuko!
 
Kwanza akaripoti kwa m/kiti wa mtaa/kijiji baadae isilete kesi.

Kisha amtegee akienda sokoni au saluni ye asafiri wiki nzima au zaidi. Aache begi la huyo mdada corridor na amtumie nauli simuni.

Afanye hivyo hima maana huyo anafosi kingi. Mda si mrefu atajaa mimba afu maisha hayatakua marahisi tena....... Nina uzoefu na hilo!!
 
Ahahahhaa ndo kashapata mke hivyo.

Mwenzie ameshajiwekea malengo,anakaa miezi 6 ili mahusiano yao yatambulike kama ndoa kiserikali alafu ndo ataondoka akajipange kuhamia kabisa!!! Mpe HONGERA zake.
 
Kwani alipokuja nae walipanganaje? kua ana maliza Xmass na mwaka mpya halafu aende zake au akae mpaka atakapo jisikia
kwenda zake? inaonyesha rafiki yako ameshashiba sasa kama mwanamme amweleze ukweli kua hawezi kumudumia kuacha hela ya matumizi kila siku kwahiyo huyo mdada ajipange........
 
Wakati anamkaribisha gheto kwa mara ya kwanza aliwaza nini, makubaliano yao yalikuwaje, miezi mitatu imeisha sheria za ndoa zinasemaje? huyo jamaa alifanya mistake tangu mwanzo na hakuna namna ya kumfukuza huyo mwanamke kwa sasa, cha msingi akajitambulishe na aoe rasmi.
 
Ahahahhaa ndo kashapata mke hivyo.

Mwenzie ameshajiwekea malengo,anakaa miezi 6 ili mahusiano yao yatambulike kama ndoa kiserikali alafu ndo ataondoka akajipange kuhamia kabisa!!! Mpe HONGERA zake.

Anafurahia kugegeda, anakwepa kulea.
 
Wanawake ndo walivyo hivyo akubali majukumu yake kama hawezi amueleweshe huyo mwanamke kuwa hana malengo nae.
 
Jamaa anakimbia majukumu hana lolote au demu mbovu sana ndio maana jamaa anaogopa kuoa
 
ebhane ni mtihan sana maana anasema nauli ipo kwenye mpesa ya demu tokea mwaka mpya..ila akiongelea tu safari demu anapanic..
 
Kwanza akaripoti kwa m/kiti wa mtaa/kijiji baadae isilete kesi.

Kisha amtegee akienda sokoni au saluni ye asafiri wiki nzima au zaidi. Aache begi la huyo mdada corridor na amtumie nauli simuni.

Afanye hivyo hima maana huyo anafosi kingi. Mda si mrefu atajaa mimba afu maisha hayatakua marahisi tena....... Nina uzoefu na hilo!!
Dah hii kali lol
 
Amuowe tu, mda wote huo! Hata wazazi wake watakuwa wanajua tayari mwanao amepata mme, alafu ki hulka wanaume huwa tunakuwa na tamaa, lkn wanawake huwa wanapenda!!, inabidi tujue hili, aoe tu.
 
ebhane ni mtihan sana maana anasema nauli ipo kwenye mpesa ya demu tokea mwaka mpya..ila akiongelea tu safari demu anapanic..

Anazingua wala hapaniki. Anatesti kama jamaa muoga aendelee kukaa. Mwambie akizubaa atajikuta kaoa kisheria na watoto ambao hakupanga.

Tunavyoongea mda huu anatakiwa awe ashaanza kuwa mkali mbogo ana afadhali.

Wanawake wa hivyo ni pasua kichwa maisha yote. Ikibidi ampige kila siku wakati anajiandaa kumfukuza. Akumbuke ye haonewi huruma kwa sasa. Anasetiwa!

Aisee umenikumbusha mbali sana!!
 
Amuowe tu, mda wote huo! Hata wazazi wake watakuwa wanajua tayari mwanao amepata mme, alafu ki hulka wanaume huwa tunakuwa na tamaa, lkn wanawake huwa wanapenda!!, inabidi tujue hili, aoe tu.

Huyo mwanamke hajapenda. Anamseti jamaa kwa ndoa ya kisheria. Angekua kampenda asingethubutu kuweka kiburi kama hicho. Kuna wanawake NI SHIDA!!

Halafu wenyewe huwa wanapongezana ikitokea huyo kabaki ndani mazima....
 
ahahahahaa inabid ufunguke anatokea mkoa gan huyo bbye
 
Kijana kama unajijua kuwa huna malengo na mtoto wa watu ni bora uachane nae tu...na uende kimboka ukamalize shida zako...kuliko kuwarubuni mabinti za watu kwa ahadi za uongo na kumpotezea muda wake..jambo ambalo hata wewe umgekuww kwenye nafasi ya mwanamke usingependa kufanyiwa.....huyo binti hakuja hapo kama kichaa bali kaitwa tena kapanda basi kutoka kwao..mpakao kwako...na baada ya kumfunua unamuona hana thamani tena na hastahili kuwa na wewe....huu nao ni unyama kama unyama mwingine...na mimi naamini kuwa haya mambo lazima yatajirudia kwenye maisha yako...kama sio kwa wanao wa kike au hata kwa dada zako....UTU KWANZA.....
 
Huyo bidada ana moyo yani sijui tu huko kwao kaaga anaenda wapi?Na huyo mkaka ndio afanye utaratibu wa kujitambulisha haya mambo yakuonjana kama karanga sio mazuri
 
Back
Top Bottom