Mwanamke kumtongoza mwanaume na tamaduni za Kiafrika

Dah kwa jinsi navyo kujua wewe huachi kitu hapo lazima ukandamiza mkuu kwi kwi na unavyo jua wanajua sana neno kupenda dah we acha tu watu tunaogopwa kufumwa maana ukifumwa utakacho kipata hehehe.

Hahahah nimkusoma mpwa ukifumwa ni hadithi pevu...lakini wenyewe ndo wanatulazimisha na kama mkijiexpress ndo kabisa umeroga mke wa muungwana!
 
labda sugarmummy hilooo au mdada kaolewa na kizeee anataka damu changa inayochemka hahhahahaha kazi unayo........

Hao ndiyo wengi kweli, usipokuwa makini utajiona mjanja kuwatafuna mara kwa mara kumbe unsaidia ku-solve shida zao....

Ila inapendeza Mwanaume ndiyo uanze kuimbisha bwana!,
Kwamfano;
"si unajua dada, mie sijaoa huwezi jua huenda ukawa mke wangu, aftaloo tutatumia "kiroba" (kondomu bwana!),......
"Mh, unajua mama ananiambia nioe muda mrefu namimi naamini muda umefika sasa, nakuapia hakiya-mulumbu no! ntakuoa ( inasaidia sana kuongea vitu visivyoeleweka ili avutiwa kuuliza na kujisogeza kwenye kona zaidi!) .....!n.k
Atakubali tu.... huku unatikisa tikisa kamguu juu na chini kisigino kikiwa ndiyo stendi. yaani!! inanoga bwana.
 
unfortunately yes and it did hurt kiasi kwamba aliporudi kutaka baby come back I didnt have strength to let him in........

Aaaaawww...you poor thang...see, now it makes sense by how you reacted when I said 'it feels good' to diss/dump a female....I'm sorry to hear that happened to you. I hope you've healed and moved on...
 
its not bad, wanawake anzeni ku-implement hii, tumechoka kuwatongoza, jaribuni muone ilivyo ngumu kukataliwa
 
"si unajua dada, mie sijaoa huwezi jua huenda ukawa mke wangu, aftaloo tutatumia "kiroba" (kondomu bwana!),......
"Mh, unajua mama ananiambia nioe muda mrefu namimi naamini muda umefika sasa, nakuapia hakiya-mulumbu no! ntakuoa

Nasikitika kama ndo utongozaji wajo ni huu msichana ambaye yuko top of the game humlazi chali, atakuona wewe mshamba sana eti nikuowe!!! Loooh amekuambia anashida na ndoa? Eti mama kanambia niowe, so what? mzee unahitaji shule ya kusomesha demu hizi ni za kijijini ambako kila demu anataka kuolewa....pole sana kaka Mzizi!
 
Nasikitika kama ndo utongozaji wajo ni huu msichana ambaye yuko top of the game humlazi chali, atakuona wewe mshamba sana eti nikuowe!!! Loooh amekuambia anashida na ndoa? Eti mama kanambia niowe, so what? mzee unahitaji shule ya kusomesha demu hizi ni za kijijini ambako kila demu anataka kuolewa....pole sana kaka Mzizi!

Tehe tehe Masa bwana, hiyo ilikuwa ndiyo enzi zetu kipindi hicho hatiujaoa, na tulikuwa tunawapata sana tuuuu! tena hapahapa Dar. Ila ni siku nyiiingi maana sasa hivi nduguyo nimeoa na sitongozi tena! nakula vyangu tu.
 
Tehe tehe Masa bwana, hiyo ilikuwa ndiyo enzi zetu kipindi hicho hatiujaoa, na tulikuwa tunawapata sana tuuuu! tena hapahapa Dar. Ila ni siku nyiiingi maana sasa hivi nduguyo nimeoa na sitongozi tena! nakula vyangu tu.

Haya ndugu yangu nimekusoma, ila linda vyako hapo mjini kuna manyangumi na mapapa ya wake za watu! Hawa kina Fidel80 wapo kila kona.....!
 
Sisi huku wacha tuendelee na mila zetu,waache wao wafanye kinyume,kwani hata wao wanashangaa inakuwaje wanaume wanatongoza wanawake.
 
Sisi huku wacha tuendelee na mila zetu,waache wao wafanye kinyume,kwani hata wao wanashangaa inakuwaje wanaume wanatongoza wanawake.
Hivi kumtongoza mtu maana yake nini? Nini maana ya "kutongoza"? Nafikiri ni ku-propose jambo kwa mtu, kushawishi, kuvutia ili afuate kile unachotaka kutoka kwake. Na mtu unaweza kumtongoza mwingine kwa kunena (kauli), kwa ishara, kwa gestures (lugha ya mwili - macho, tembea, ongea) kama haya yanafanywa kwa LENGO la kumu-win mwingine. Kama maelezo yangu ni sahihi, naamini wadada ndiyo mara nyingi - kama si daima - basi wadada ndiyo wanaotongoza wanaume. Nyie hamjui. Huo ndiyo ukweli. Ninyi mmeji-base kwenye aina moja tu ya kutongoza: yaani kwa kauli wazi. Kubali hapo tu si kuutendea haki msamiati "kutongoza".

Kwa hiyo mjue kuwa wanawake diyo daima wanatongoza wanaume kwa gestures, na ishara tele. Akikupenda hata uwe na ujanja na busara za Solomon ujumbe utafika tu, tena vizuri, na mara nyingi atakupata tu. Labda uamue kufunga milango yote ya fahamu. Hongereni wanawake. Mmejaliwa. Si lazima mwongee kwa maneno. Hiyo yatosha. Ujumbe mnaufikisha kwa wababa.
 
Huko ndiko kumuiga Tembo kunja Bogo na kutaka wewe unye Boga hatma yake hasara inakuwa kubwa kuliko faida.
 
Wanawake wengi Bongo huolewa na watu wasio wapenda, kwani wale wanaowapenda hawawezi kuwaambia na kwa hiyo inabidi asubiri yule anayemuapproach (hata kama hampendi) alafu baadaye aanze kujilazimisha kumpenda na mwisho wake anampenda kweli, na akisikia anataka kumwacha wengine wanafikia hata hatua ya kunywa sumu.

Lakini kuna njia nyingi za kuapproch, kwa Bongo tumezoea wanaume wanajileeza maelezo mengi na mashairi ya kumwaga utadhani ya Shaban Robert, kwa wenzetu haiko hivyo, kwani wao wanaamini Mtu mzima akikuambia NO leo hata kesho ni NO. Lakini Hapa Bongo wadada wanasema NO wakimaanisha nikafikiri alafu kesho anakuja na Jibu la nipe Muda alafu kesho kutwa YES sasa inakuwa mambo africa Bambataa.

Wadada wanaowapenda wanaume na kwa vile wanaogopa kuonekana wahuni nawashauri watumie non-verbal techiniques, kwa mfano muulize mkaka kama ataweza kukupeleka sehemu fulani kama naomba unisindikize dukani Jumamosi nataka kwenda kuangalia kiatu (Ujue kwanza kama anapenda vitu vya bei kubwa au ndogo, usimpeleke asikoweza kufika) ukifika huko haimaanishi akununulie hata akija na pesa zake (wakaka wengi wanapenda kujitutumua) mwambie hapana, usipokee ofa katika hatua hii, kama una pesa zako nunua (kama Utakiona) kama hakipo mwambie nashukuru kwa kampani yako, na mwambie kuwa window shopping ni tamu mkiwa wawili.

siku nyingine mpeleekee kizawadi kidogo, kama pipi, muulize umewahi kuonja hizi pipi? au mints, kwa kaka yyote mwenye uzoefu wake au aliyekomaa atajua dada ajenda yako nini, atakupa maneno, na hapo hutaonekana umeanzisha wewe, na kama atakupiga buti bado haiwezi kusound sana maana hujasema neno lolote. au vipi??

Ukiwa naye kazini hapo ni rahisi zaidi mana ni rahisi kumuuliza vipi tukanywe chai wote? au lunch? au utapenda kunipa lift? au nikupe lift? au kwanini leo usipite njia hii (unayopita wewe) au unapenda nikusindikize??? Ni rahisi sana kwa mwanamke kumtongoza mwanaume kuliko mwanaume kumtongoza mwanamke....
 
Katika jamii zetu za kiafrika, ambako tuna mfumodumo wa kuona mwanamme ndiye anayetongoza na kuoa, wanaume wengi wanatongozwa na wanawake kuliko wanavyofikiri.

Tofauti tu ni kwamba wanawake wetu wanajua ku play na psychology za wanaume wao.Kwa mfano, mwanamke anaweza kumuona mwanamme na kumtamani kabla ya mwanamme kumuona mwanamke, mwanamke ataanza kujipitisha pitisha palee mpaka mwanamme atamuona, mara mwanamme atatupa ndoano na kujitutumua kutaka kurusha makombora, huku mwanamke anajifanya hana muda naye, vivyo hivyo siku kadhaa zitapita, halafu baadaye mambo yataanza "ku,nyookea" pole pole mwanamme, hatima yake mipango inakamilika huku yule mwanamme akiamini kabisa kwamba yeye ndiye dume aliyeanzisha mambo, kumbe ukweli wa mambo ni kwamba aliwekwa sawa.

Sasa hapo nani kamtongoza nani?

Wanawake wanatongoza sana wanaume, tofauti inakuja kwenye level ya uwazi, wanatuzidi katika usanii.
 
siku nyingine mpeleekee kizawadi kidogo, kama pipi, muulize umewahi kuonja hizi pipi? au mints, kwa kaka yyote mwenye uzoefu wake au aliyekomaa atajua dada ajenda yako nini, atakupa maneno, na hapo hutaonekana umeanzisha wewe, na kama atakupiga buti bado haiwezi kusound sana maana hujasema neno lolote. au vipi??

Nimekusoma Mbogela shule nzuri hii!
 
Hivi kumtongoza mtu maana yake nini? Nini maana ya "kutongoza"? Nafikiri ni ku-propose jambo kwa mtu, kushawishi, kuvutia ili afuate kile unachotaka kutoka kwake. Na mtu unaweza kumtongoza mwingine kwa kunena (kauli), kwa ishara, kwa gestures (lugha ya mwili - macho, tembea, ongea) kama haya yanafanywa kwa LENGO la kumu-win mwingine. Kama maelezo yangu ni sahihi, naamini wadada ndiyo mara nyingi - kama si daima - basi wadada ndiyo wanaotongoza wanaume. Nyie hamjui. Huo ndiyo ukweli. Ninyi mmeji-base kwenye aina moja tu ya kutongoza: yaani kwa kauli wazi. Kubali hapo tu si kuutendea haki msamiati "kutongoza".

Kwa hiyo mjue kuwa wanawake diyo daima wanatongoza wanaume kwa gestures, na ishara tele. Akikupenda hata uwe na ujanja na busara za Solomon ujumbe utafika tu, tena vizuri, na mara nyingi atakupata tu. Labda uamue kufunga milango yote ya fahamu. Hongereni wanawake. Mmejaliwa. Si lazima mwongee kwa maneno. Hiyo yatosha. Ujumbe mnaufikisha kwa wababa.

Nakubaliana nawe, akina dada kwa kweli wana utaalamu haswaa. Mwanamke akiamua kukutaka walahi hakukosi. Na pindi uamuapo kufunga milango ya fahamu ina maana ushakwazwa. Mi nadhani labda uwe hujakamilika kwa mtazamo wa kuwa na hisia za kimapenzi.

Ukitaka kujua jinsi haya mambo yanavyokwenda wewe appreciate nature.
Hata wanyama na wadudu wanao vigezo na vivutio pindi wanapofikia nyakati za kujamiiana.

Vivyo hivyo binadamu, mabadiriko ya miili pindi unapofiakia kupevuka ndivyo vigezo ya kuvutiana katika pande zote, iwe mwanamke au mwanaume. Mwanaume anatongoza, akitumia maneno na vikorombwezwo vingine kama tutoa pesa, na zawadi kama kumlainisha mwanadada ili kuharakisha tendo.
Na hii ni kwa sababu wanaume siyo wavumilivu wa kuhodhi hisia zao kama wanawake.

Wanawake wanatongoza kwa vitendo na wanaweza wakakufuatilia kwa kipindi kirefu sana. Hii yote kwa sababu hawawezi kuongea kuelezea hisia zao. Utamjua kwa mbwembwe na matendo k.m mavazi, viatu, vipodozi, n.k salamu nyingi na kukatiza mbele yako kila wakati.

Nakubaliana na hali ya kwamba mwanamme ndiye anayetongoza mara zote, kwani wakati mwingi mwanamme anakuwa tayari kwa tendo, na anapomfuata mwanamke anataka ajibiwejibu NDIYO; Mwanaume anapokataliwa au kapigwa kibuti wakati huwa mwingine mkali na kujenga uadui, wengine hufikia hata kuwatishia na kuwadhibu mwanamke (kumpiga) wanaowakataa.

Wanaume pia tu-appreciate kama mwanamke anakuja na kukueleza hisia zake. Jinsi mwanamme anavyomshangaa mwanamke anayejieleza hisia zake ni sawa na mwanaume anayejieleza hisia zake kwa mwanamke; halafu mwanamke hana wazo/hisia nawe. Wacha mothernature ifanye kazi.
 
Wanawake wengi Bongo huolewa na watu wasio wapenda, kwani wale wanaowapenda hawawezi kuwaambia na kwa hiyo inabidi asubiri yule anayemuapproach (hata kama hampendi) alafu baadaye aanze kujilazimisha kumpenda na mwisho wake anampenda kweli, na akisikia anataka kumwacha wengine wanafikia hata hatua ya kunywa sumu.

Lakini kuna njia nyingi za kuapproch, kwa Bongo tumezoea wanaume wanajileeza maelezo mengi na mashairi ya kumwaga utadhani ya Shaban Robert, kwa wenzetu haiko hivyo, kwani wao wanaamini Mtu mzima akikuambia NO leo hata kesho ni NO. Lakini Hapa Bongo wadada wanasema NO wakimaanisha nikafikiri alafu kesho anakuja na Jibu la nipe Muda alafu kesho kutwa YES sasa inakuwa mambo africa Bambataa.

Wadada wanaowapenda wanaume na kwa vile wanaogopa kuonekana wahuni nawashauri watumie non-verbal techiniques, kwa mfano muulize mkaka kama ataweza kukupeleka sehemu fulani kama naomba unisindikize dukani Jumamosi nataka kwenda kuangalia kiatu (Ujue kwanza kama anapenda vitu vya bei kubwa au ndogo, usimpeleke asikoweza kufika) ukifika huko haimaanishi akununulie hata akija na pesa zake (wakaka wengi wanapenda kujitutumua) mwambie hapana, usipokee ofa katika hatua hii, kama una pesa zako nunua (kama Utakiona) kama hakipo mwambie nashukuru kwa kampani yako, na mwambie kuwa window shopping ni tamu mkiwa wawili.

siku nyingine mpeleekee kizawadi kidogo, kama pipi, muulize umewahi kuonja hizi pipi? au mints, kwa kaka yyote mwenye uzoefu wake au aliyekomaa atajua dada ajenda yako nini, atakupa maneno, na hapo hutaonekana umeanzisha wewe, na kama atakupiga buti bado haiwezi kusound sana maana hujasema neno lolote. au vipi??

Ukiwa naye kazini hapo ni rahisi zaidi mana ni rahisi kumuuliza vipi tukanywe chai wote? au lunch? au utapenda kunipa lift? au nikupe lift? au kwanini leo usipite njia hii (unayopita wewe) au unapenda nikusindikize??? Ni rahisi sana kwa mwanamke kumtongoza mwanaume kuliko mwanaume kumtongoza mwanamke....

Mashaaaallllaaaaaah,

Dada ulishawahi kuwa Nyakunga nini?
 
Bluray
Uliyo nena haswaaaa, yanatokea hayooo.
Dada aonyeshe ukarimu kidogo tuu, ficha maudhi, usiongee saaana. Usimwangalie kaka wa Kitanzania machoni, hiyo fimbo tosha ya kumtongoza.

Wadada siku hizi mnajifanya westernized, jicho kavuu machoni pa kijana duh, vijana wanakimbia na maneno hayapandi.
 
Msinirushie mawe hapa kifupi wanawake wanaakili kuliko wanaume, akimua hata urushe maneno gani utapigwa kibuyu, na wakati mwingine unaweka zero efforts unamlamba chumvini!
 
Back
Top Bottom