Hili nalo lakutazamwa wajameni.
Mmeoana jamaa yupo sawa na speed yake unaielewa, imetokea bahati mbaya kaumwa na magonjwa haya jamani kama mnavyoyaelewa mara sukari, mara presha looo! unakuta hawezi tena kwenda na kasi.
Mhhhh hapo hapo unakuta vitimbi vinaanza mara anataka waachane,mara anaanza kumcheat mara kumjibu vibaya unaskia eti " kwani una madhara gani?" Jamani tukumbuke kupendana kwenye shida na raha
Mmeoana jamaa yupo sawa na speed yake unaielewa, imetokea bahati mbaya kaumwa na magonjwa haya jamani kama mnavyoyaelewa mara sukari, mara presha looo! unakuta hawezi tena kwenda na kasi.
Mhhhh hapo hapo unakuta vitimbi vinaanza mara anataka waachane,mara anaanza kumcheat mara kumjibu vibaya unaskia eti " kwani una madhara gani?" Jamani tukumbuke kupendana kwenye shida na raha