Mwanamke kudai anajisikia kukojoa

Mwanamke kudai anajisikia kukojoa

Njoo Bukoba utajua kama wanakojoa au wanatania ,karibu sana dogo utakojolewa walah !
 
Umeshajaza form ya kurudia mtihani wa kdato cha nne au ndio unasubiri tukupeleke veta mkuu
 
Samahani waungwana,nimekua na kawaida ya kugegedana na baadhi ya wasichana/wanawake, mara nyingi wakati nafanya nao mapenzi hupiga kelele kuwa wanajisikia kukojoa, na mimi huwa nawaambia kojoa, lakini hawakojoi(mkojo halisi) licha ya kuwaambia wakojolee kitandani kama kweli wanahisi kukojoa, cha ajabu hawakojoi.

Baada ya kugegedana huwa najaribu kuwadadisi kwamba mbona wanashindwa kukojoa licha ya mimi kuwapa ruhusa ya kukojoa kitandani wakati wakufanya tendo husika,wao hunijibu kua wanashindwa.

Je hii hali huwa inamaanisha nini,ni kweli wanakua wanataka kukojoa mkojo halisi au huwa ni hisia zao tu,na kama majibu siyo hayo,majibu ni yapi,mwenye uelewa wa haya mambo naomba anijibu.
Nawasilisha.

Yaani hadi February mwishoni bado hamjafungua shule tu!!
 
Miaka ishirini unafanya na wasichana tofaut kwel.ukimwi hautatuacha
Typing error madam,lakini kwa miaka hii imeanzakua kawaida,miaka kumi na nane tu mtu anakua amelala na wanawake wengi tu hasa mjini.
 

Kama ni mkojo wa kawaida hauwezi kutoka wakati wa tendo... Itakua utamu unamzidi
 
Back
Top Bottom