Wapendaw salaam na heri kwa sikukuu.
Naomba ushauri wa nini cha kufanya hapa niko kwenye ndoa mwaka mmoja sasa,hivi karibuni nimegundua kuwa mke wangu anachukua vitu vya ndani madhalani vyakula na kuvipeleka kwa wazazi wake kisiri bila hata kunambia, nimeona mwenyewe asubuhi akimtuma dereva yebo . Alijua mm bado nimelala kumbe niko chumba kingine ambacho dirisha halikufungwa na kila kinachofanyika nje kinaonekana.nimekuwa na tatizo la vitu kuisha ndani kabla muda wake kwa mfanoo na nunua consumables kwa ajili ya mwezi mzima matokeo yake kabla ya mwezi utaambiwa vimeisha.
Nampenda mke wangu ila kwaa hili amenikwaza kwan ndo kwanza tumeanza maisha sasa kama kila hela itaishia kwenye vyakula tutafanya cha maana kweli?
Hakuna ubaya kwa yeye kuwasaidia wazazi wake tena kwa vitu kama chakula kibaya tu ni yeye kufanya kwa siri. Lakini naamini kuna sababu za yeye kuamua kufanya kwa kificho. Inawezekana kwa namna alivyokusoma kwa mda mliokaa naye anajua akikushirikisha kuna ugumu atakutana nao. Kaa naye muongee kwa uwazi, tatizo ni dogo tu hilo unless awe ana tabia za uswahilini.
yaani kwenu chakula kipo afu wazazi wake walale njaa? unaonyesha kuwa unatabia za kichoyo na ndiyo maana anafanya kwa siri. HONGERA ZAKO DADA KWA KUIBA CHAKULA.NA KUPELEKA KWA WAZAZI WAKO.... Miaka michache iliyopita nilikuwa sipendi kabisa nije kuzaa mtoto wa kike ila siku zinavyozidi kwenda nimezidi kugundua kuwa watoto wakike wanahuruma sana kwa wazazi wao. HAPO UTAKUTA HILI JAMAA WAZAZI WAKE WANALALA NJAA LAKINI WALA HALINA MUDA NAO
Ukitumia busara kidogo tu km ya binti yangu wa darasa la tatu, utagundua jamaa halalamikii wazazi wa mkewe kupewa msaada bali tabia ya wizi wa mkewe. Huwezi kuhalalisha wizi kwa kigezo cha msaada. Kama ana nia njema, kwanini asimhusishe mmewe?
Ukitumia busara kidogo tu km ya binti yangu wa darasa la tatu, utagundua jamaa halalamikii wazazi wa mkewe kupewa msaada bali tabia ya wizi wa mkewe. Huwezi kuhalalisha wizi kwa kigezo cha msaada. Kama ana nia njema, kwanini asimhusishe mmewe?
Kuzaliwa na Wazazi masikini ni mapenzi ya Mungu ila kuwa na wakwe masikini ni kujitakia.....
Wapendaw salaam na heri kwa sikukuu.
Naomba ushauri wa nini cha kufanya hapa niko kwenye ndoa mwaka mmoja sasa,hivi karibuni nimegundua kuwa mke wangu anachukua vitu vya ndani madhalani vyakula na kuvipeleka kwa wazazi wake kisiri bila hata kunambia, nimeona mwenyewe asubuhi akimtuma dereva yebo . Alijua mm bado nimelala kumbe niko chumba kingine ambacho dirisha halikufungwa na kila kinachofanyika nje kinaonekana.nimekuwa na tatizo la vitu kuisha ndani kabla muda wake kwa mfanoo na nunua consumables kwa ajili ya mwezi mzima matokeo yake kabla ya mwezi utaambiwa vimeisha.
Nampenda mke wangu ila kwaa hili amenikwaza kwan ndo kwanza tumeanza maisha sasa kama kila hela itaishia kwenye vyakula tutafanya cha maana kweli?