Wapendaw salaam na heri kwa sikukuu.
Naomba ushauri wa nini cha kufanya hapa niko kwenye ndoa mwaka mmoja sasa,hivi karibuni nimegundua kuwa mke wangu anachukua vitu vya ndani madhalani vyakula na kuvipeleka kwa wazazi wake kisiri bila hata kunambia, nimeona mwenyewe asubuhi akimtuma dereva yebo . Alijua mm bado nimelala kumbe niko chumba kingine ambacho dirisha halikufungwa na kila kinachofanyika nje kinaonekana.nimekuwa na tatizo la vitu kuisha ndani kabla muda wake kwa mfanoo na nunua consumables kwa ajili ya mwezi mzima matokeo yake kabla ya mwezi utaambiwa vimeisha.
Nampenda mke wangu ila kwaa hili amenikwaza kwan ndo kwanza tumeanza maisha sasa kama kila hela itaishia kwenye vyakula tutafanya cha maana kweli?
Naomba ushauri wa nini cha kufanya hapa niko kwenye ndoa mwaka mmoja sasa,hivi karibuni nimegundua kuwa mke wangu anachukua vitu vya ndani madhalani vyakula na kuvipeleka kwa wazazi wake kisiri bila hata kunambia, nimeona mwenyewe asubuhi akimtuma dereva yebo . Alijua mm bado nimelala kumbe niko chumba kingine ambacho dirisha halikufungwa na kila kinachofanyika nje kinaonekana.nimekuwa na tatizo la vitu kuisha ndani kabla muda wake kwa mfanoo na nunua consumables kwa ajili ya mwezi mzima matokeo yake kabla ya mwezi utaambiwa vimeisha.
Nampenda mke wangu ila kwaa hili amenikwaza kwan ndo kwanza tumeanza maisha sasa kama kila hela itaishia kwenye vyakula tutafanya cha maana kweli?