Mwanamke kicheche huolewa na mwanaume mtulivu...

Mwanamke kicheche huolewa na mwanaume mtulivu...

JUMONG

Senior Member
Joined
Sep 16, 2011
Posts
107
Reaction score
59
Mwanamke kicheche huolewa na mwanaume mtulivu na mwanaume kicheche huoa mwanamke mtulivu. Ndoa nyingi ndivyo zilivyo na ndiyo maana wanandoa wanaongoza kwa maambukizi ya HIV.

Kama una mfano tofauti njoo na pointi.
 
huo utafiti umeufanyia wapi JUMONG? Kwa data za karibuni zinaonyesha kundi la under 25years ndio linaongoza kwa maambukizi hasa wengi wakiwa ni wanachuo na wanafunzi
 
kwa analysis zipi ndugu yangu, sidhani kama umekumbuka coefficient zote kama vile drag coefficient n.k
 
Ndoa nyingi ndivyo zilivyo na ndiyo maana wanandoa wanaongoza kwa maambukizi ya HIV.

Kama una mfano tofauti njoo na pointi.
JUMONG, heading na content haviwiani mbona?
 
Utafiti wa kimagumashi huu. Source please!!!!!
 
Utafiti ni kazi mzee c o issue ya kufikirika...na uzuri wa hili jamvi kuna wataalamu hapohapo wanakupa data..
 
Unajaribu kujipa moyo kwamba kama wewe hujatulia mwenzio katulia? Pole maana sio kila cha moto huongozana na cha baridi.

Wengine wanashindana kugegeda na kugegedwa nje kila mmoja akidhani mwenzie ndio kalamba gharasha kumbe yeye ndo kalamba JOKER.
 
Ndoa nyingi ndivyo zilivyo na ndiyo maana wanandoa wanaongoza kwa maambukizi ya HIV.

Kama una mfano tofauti njoo na pointi.

Hili jukwaa limebakia jina tu hamna kitu cha maana tena huku ni bora kusearch thread za zamani.
 
yani wewe na yule mwenzio MUYOOL mna thread za ajabu!
ahahahahha nahis ni mtu mmoja!
hamuwezi kwa mna majina yenye back ground moja na kisha mkawa na akili zinazzofanana pia!
kuna kitu hapa! Asprin we unaonaje?
 
duh ingekua hivyo silazima kila siku kungekua na kesi za kifamilia coz ingekua kila siku migogoro tu!!!
 
Back
Top Bottom