Mwanamke kama huyu utamchukuliaje???

Mwanamke kama huyu utamchukuliaje???

Hip guest ya kwanza mlitafuta wote? Mbona wewe hajakuuliza uliijuaje? Mimi nshawahi kupelekwa na girlfriend wangu
 
Kawaida ya zinaa ni deni Ukizini dada ,mtoto,shangazi,mama wa mtu basi ujuwe iko siku nawewe utaziniwa wa kwako
 
GF wake alimwambia kuwa sister ake ndo aliyemueleza kuhusu hiyo guest

Sasa hilo jibu halijamridhisha au?
Kama humuamini mwenza wako utaishi maisha magumu sana,muda wote unawaza unaibiwa tu.
 
Hahaha yaani umenichekesha tu.
Kuna mdada huwa analalamika mumewe hamridhishi kabisaa. Na ukileta innovation yoyote ya hata kujitikisa unaulizwa ulifundishwa na nani. Inageuka mjadala na ugomvi na zoezi linaishia hapo.

Huyu 'rafiki' wa mtoa mada anatakiwa apate gf atakaemuambia kitasa cha chumba 105 hakifungi na bomba la 210 halitoi maji vizuri. Lol
Amuulize gf wake. Labda aliambiwa?
Na kama wana miaka inayo ruhusu mahusiano kama hayo
basi ni muda wa kutafuta makazi yenye mazingira yanayo ruhusu kufanya hivyo vitu home.
Unampelekaje gf guest jamani, kama changu? Nimesema tu...
 
Kijana unajitahidi kutunga story,oneza bidii utakuwa mtunzi mzuri wa hadithi siku zijazo
 
Huyu 'rafiki' wa mtoa mada anatakiwa apate gf atakaemuambia kitasa cha chumba 105 hakifungi na bomba la 210 halitoi maji vizuri. Lol

Nauhakika hizo namba hujazitaja bahati mbaya..hebu malizia na jina la hiyo sehemu kabisa...lol..
 
Hehehe machi machi gest hausi. Iko mwembe jini karibu na kndoni makaburini. Kama ukienda angalia room 101 kuna kitobo cha kupigia chabo masela.
Nauhakika hizo namba hujazitaja bahati mbaya..hebu malizia na jina la hiyo sehemu kabisa...lol..
 
Jamaa alikuwa akihitaji ushauri kwa rafiki yake maana alikuwa akihisi kama anachukuliwa ndege wake...
Ni kawaida kwa marafiki kushauriana na kuelezana mambo yao, iwe wanaume au wanawake.
Ndege wake???!!! Seriously??? Huyo jamaa ana haki kweli ya kusema ana ndege hapo??
 
"Guest House" Nyumba ya kulala wageni...

May be mdada aliwahi kumpeleka mgeni wake hapo!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom