sinyoritah
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 552
- 346
More importantly as if men have more rights to be wazinzi than girls!!!!
hehe seems so afu ukiwauliza wenyewe wamejuje mahala ni negative answer mpaka najutaa kuuliza
More importantly as if men have more rights to be wazinzi than girls!!!!
Jana jioni nilikuwa nimekaa na rafiki yangu mmoja kwenye sehemu tulivu tunapata kinywaji huku tukiendelea na maongezi. Akanipa story ya girlfriend wake ambaye alikuwa na kawaida ya kufanya nae mapenzi kwenye guest moja maeneo ya ilala, juzi yule GF wake akakataa kwenda kwenye ile guest house kwa madai kwamba haina mazingira mazuri ndani kitu ambacho anakuwa hayuko comfortable awapo pale so akaomba jamaa atafute guest nyingine yenye mazingira mazuri yaani "self contained".
Jamaa akawa amepuuzia maneno ya GF yake, time ilipofika akampeleka kwenye guest ile ile ya siku zote, GF akagoma kuingia badala yake akamwambia jamaa twende huku, jamaa akamfuata demu akampeleka kwenye guest nyingine ambayo ilikuwa imejificha kidogo na ina mazingira yote ambayo alikuwa anamwambia jamaa atafute.
Sasa jamaa jamaa ana wasi wasi juu ya huyo demu alijuaje mazingira ya ile guest!!
What goes around comes around. Kwani huyo jamaa aliwahi kuulizwa na huyo gf kwamba hiyo guest waliyokuwa wanapelekana aliijuaje?
Mzinzi wa kwanza (me) kachagua guest hakuna maswali, mzinzi wa pili (ke) kachagua maswali yanaanza.!!
Amuulize gf wake. Labda aliambiwa?
Na kama wana miaka inayo ruhusu mahusiano kama hayo
basi ni muda wa kutafuta makazi yenye mazingira yanayo ruhusu kufanya hivyo vitu home.
Unampelekaje gf guest jamani, kama changu? Nimesema tu...
"Unampelekaje gf guest jamani, kama changu? Nimesema tu''....
.. natatizwa sana na huko guest... sijui kwa nini naona guests ni za mapleya!
Honey Faith, kama mwanamke ungejisikiaje kila mnapotaka kukutana na mpenzi wako iwe huko guest?na mie nauliza tu sehemu gani ni nzuri kwenda wapenzi hotelini ama?
may b mpenz anaishi kwao so awe anakupeleka kwao mi naona haijakaa poaHoney Faith, kama mwanamke ungejisikiaje kila mnapotaka kukutana na mpenzi wako iwe huko guest?
Kwani nyumbani hamna mazingira mazuri ya "kukutana"?
Mara nyingi wengi hata hawajui wapenzi wao wanaishi wapi, wao ni kukutana guests, kula, kunywa na kufurahia maisha... ndo maana mi naona ni sehemu ya mapleya.
gf au changu hakuna tofauti wote ni uzinzi tu."Unampelekaje gf guest jamani, kama changu? Nimesema tu''....
.. natatizwa sana na huko guest... sijui kwa nini naona guests ni za mapleya!
Amuulize gf wake. Labda aliambiwa?
Na kama wana miaka inayo ruhusu mahusiano kama hayo
basi ni muda wa kutafuta makazi yenye mazingira yanayo ruhusu kufanya hivyo vitu home.
Unampelekaje gf guest jamani, kama changu? Nimesema tu...
Kwan huyo gf ulimkuta bikira,dem wako mpya,alikuwa dem wa mwenzako wa zaman,so inawezekana mazingira anayajua vizuri kabla hujawa nae!
Jana jioni nilikuwa nimekaa na rafiki yangu mmoja kwenye sehemu tulivu tunapata kinywaji huku tukiendelea na maongezi. Akanipa story ya girlfriend wake ambaye alikuwa na kawaida ya kufanya nae mapenzi kwenye guest moja maeneo ya ilala, juzi yule GF wake akakataa kwenda kwenye ile guest house kwa madai kwamba haina mazingira mazuri ndani kitu ambacho anakuwa hayuko comfortable awapo pale so akaomba jamaa atafute guest nyingine yenye mazingira mazuri yaani "self contained".
Jamaa akawa amepuuzia maneno ya GF yake, time ilipofika akampeleka kwenye guest ile ile ya siku zote, GF akagoma kuingia badala yake akamwambia jamaa twende huku, jamaa akamfuata demu akampeleka kwenye guest nyingine ambayo ilikuwa imejificha kidogo na ina mazingira yote ambayo alikuwa anamwambia jamaa atafute.
Sasa jamaa jamaa ana wasi wasi juu ya huyo demu alijuaje mazingira ya ile guest!!