kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,788
- 5,027
Mwenzenu kuna demu nimetokea kumpenda saana, lakini demu huyo bado amekuwa mtu wa kunizungusha akili yangu kwa jinsi ninavyomuona demu sio mgumu kivile ila kuna kitu nitakuwa bado sijaelewa kutoka kwake ndio maana mpaka leo na pambana kumpata.
Huyu demu nikiomba mda wa kuongeya naye hakatahi kuongeya na mimi. Na kila nikiongeya naye jibu lake ni kuwa ni mpe mda afikirie.
Ni Kimpa mda afikirie siku nyingine ni kiongeya naye ili kuomba jibu anaomba mda mwingine tena wa kufikiria
Yaani hiyo imekuwa too much kwake.
Hivi ni njia hipi ninaweza kutumia kumpata demu kama huyu wenzangu na mimi.
Maana kwa akili yangu nahisi demu tayari ameshakubali ila kuna kitu anahitaji kuona kutoka kwangu au kuna kitu nahitaji kuelewa kutoka kwake ili kuweka mambo sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu demu nikiomba mda wa kuongeya naye hakatahi kuongeya na mimi. Na kila nikiongeya naye jibu lake ni kuwa ni mpe mda afikirie.
Ni Kimpa mda afikirie siku nyingine ni kiongeya naye ili kuomba jibu anaomba mda mwingine tena wa kufikiria
Yaani hiyo imekuwa too much kwake.
Hivi ni njia hipi ninaweza kutumia kumpata demu kama huyu wenzangu na mimi.
Maana kwa akili yangu nahisi demu tayari ameshakubali ila kuna kitu anahitaji kuona kutoka kwangu au kuna kitu nahitaji kuelewa kutoka kwake ili kuweka mambo sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app