Mwanamke Jiamini..

Hahaa. Umenikumbusha mbali mie majuzi nilisafiri basi nilipokaa pembeni yangu kuna mdada na bwana ake basi amemlalia mpaka wanashuka.
Hapo ni sawa na kama mwanamme yuko sawa na hiyo kuna wale ambao waume zao unawaona hawako sawa kabisaaaa..
 
Hahaa. Umenikumbusha mbali mie majuzi nilisafiri basi nilipokaa pembeni yangu kuna mdada na bwana ake basi amemlalia mpaka wanashuka.
Mkome kututolea macho waume wa wenzio..!
 
Sema una uvumilivu asee,mi nisingeweza kumuona anafanya yote alafu mi nimekaa tu naangalia
 
Yani hapo ndo unamuongezea hasira huyo mwanamke ya kumnyakua mwanaume wako..Na siku akimtia kwenye 18 zake utajuta
Hiyo nafasi ya kumpata kwenye 18 zake wala hawezi kuipata...kabisa
 
Its okay kama ndio routine yako na wala huyo mwanamme wako hatokua insecure mbele za watu,ila wale wanaofanya pale wanapoona wanawake wenzao sasa sielewi hua ni kutokujiamini au wasiwasi mwanamke mwenzie amamzidi hata sielewi..
Mi huwa nakua vile kwasababu ya viashiria fulani vibaya vya mwanamke mwingine juu ya mwanaume wangu
 
Mie sioni tatizo kwenye hili. Watu wawe huru na penzi lao kama ni kushikana viuno, kupeana busu etc.

 
Hahaaa.. Assume asingekutambulisha akaamua kukaa kimya.?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…