Mwanamke huyu unamfanyaje?

Mwanamke huyu unamfanyaje?

kuna mengi ya kusema ukiwa na hasira... na huwa yanakuwa ya ukweli kabisa...
hivyo huyo baba kama mwanadamu inamuuma hayo maneno... sijaona alichokosea... huyo mdada arud kwao tu
 
huyo mwanaume atakuwa hana HELA. THREAD CLOSED
.....
Upo sahihi mkuu, Huyo mwanaume angekuwa na pesa, huyo mwanamke asingetamka hayo maneno. Haijalishi kama huyo mtoto ni huyo mume wake Au siyo wake.
 
Huyo mwanamke anajifanya chizi, mbona hasemi siku alokwenda ku Duu ili jamaa apate uhakika, jeuri nyingi mtaji K.....
 
Mwingine alishaulizwa kama anaweza kuzaa mtoto mweupe kama waliye naye.
 
Aiseee kweli kuna watu wavumilivu.yani hapo kuna namna kwanin mwanaume ni mzito kuchukua hatua.n way mwanaume kuwa na koo(kifua) alijisemea mkude simba
 
toka nausikia huu ugomvi jana nilifikiria wangefanya dna test lakin nazan cost pia inaweza kuwa ishu na awareness.

ni gharama zaidi kulea mtoto mpaka afikishe miaka kumi na nane....kutojua ni suala la kumuelimisha tu....
 
huyo jamaa ni zuzu...anaelea ujinga...
 
Mwanamme kama huna kitu na demu ndiyo provider ya kawaida hayo mbona hasa huku kwetu uswazi!

Angekuwa mwanamme ana hela thubutu kufungua mdomo wake!
 
operation fukuza mala.ya.......ikiwezekana aendelee kukalea katoto
 
Huo ukawaida unaouongelea zamiruni ni upi?wanasema mambo yakimkuta mwenzio ni rahisi Sn kuyapima.nyie ndio huwa hamchelewi kuruka chemp mpk mwenyekiti Wa mtaa aje kuamua
 
Back
Top Bottom