Mwanamke huyu ana mapepo

Mwanamke huyu ana mapepo

jamani kweli mdogo wangu??? uwiiiiiiiii sijui atasema ameona nafaidi nini lol!

to be frank ni bora mume akamwambia bi mkubwa kisha bi mkubwa kama anakili kama zangu anasepa tartibuuuu......... awaachie nafasi wapendanao basiii.

mm na mdogo wangu tushee pillow i cant aisee......
 
najaribu kufikiria siku mapepo yakifa yatachomewa moto gani?kila kitu ni wao tu

dhambi nyingine hata mapepo yanasema kabisa hawazijui mkuu tena wanafanya kushangaa kabisa kwamba ni ngeni chezea binadamu wewe.......................
 
Dear Admin,
i am a 23 years gal.
Have been in a relationship with
my sisters husband for 5 years
now without my sisters noticing,
sometimes we stay together,
sometimes i stay away from them,
it started immediatly i cleared my
high school..
i dont know how its happen but i
felt in love with him because he
was my 1st man,
upto now i love him and he too
loves me,
im almost clearing my university
studies only some months
remaining...
I have told him to break up
because i dont want my sister to
know this but he insisted on
marrying me!
im totally confused by now
because i need 2 settle after my
studies.
what can i do to make them
divorce?
Is there any strong witch craft
who can help?
Advice me please

jamani hiki kiingereza mmmh! but snowhite atanisaidia hapa manake japo naunga ama nakizimulia na nyagi but hiki kiboko.
 
Last edited by a moderator:
Japo sikubaliani kabisa na hicho kitendo cha huyo binti na shemejiye lakini nadhani huyo binti hana haja ya kukimbilia kwa waganga ili amdhuru dada yake. Mwanaume amwambie mkewe kuwa anataka aongeze mke na asifikirie kumwacha huyo mke mkubwa then amchukue huyo binti, japo itasumbua lakini baadaye italeta unafuu (kuna makabila yanaruhusu hilo la kuoa mtu na dada yake, hata la kwetu wanaita kusakula mtu akioa dada na mdogo mtu). Miaka mitano ni mingi hadi inauma. Hebu fikiria ndo wewe unamwoa huyo binti na ukajua kuwa alikuwa anafanya ujinga huo na shemeji yake, je baadaye ukitembelewa au yeye akiwatembelea utakuwa na amani kweli??


Mh sidhani kama dada mtu atalikubali hilo.
 
Kuna jamaa yangu naye alikuwa anakula shemeji yako! Kisa kilianza hivi, baada ya kumaliza kidato cha nne kule Mwembe Togwa sec, binti alikuja Dar kuishi kwa dada yake akiwa anasubili matokeo ya kidato cha nne, baada ya miezi kadhaa kupita, dada mtu akashangaa kuona mdogo wake anatapika ovyo, hapendi kula n.k ndipo akawa na wasiwasi, kwenda Amana kumpima, akakuta anamimba ya miezi 2! Alipo ulizwa ya nani, akasema ya shemeji yake, bwana nae akakubali, bi mkubwa akabwaga manyaga na kumwachia nyumba mdogo mtu! Hoja hapa ni kuwa, mambo haya hapo sana huku mtaani, watu hawasemi tu!
 
Mh sidhani kama dada mtu atalikubali hilo.

Hilo litategemeana sana na mila za kabila lao, japo mwanzo litamsumbua lakini baadaye watalizoea so long as mwanaume kama atakuwa na uwezo wa kui handle hiyo situation, si kampenda mdogo mtu?? Jamaa amwambie ukweli tuu mkewe na usikute akakubaliwa au wakafikia muafaka wa kueleweka.
 
Kama kweli ana nia ya kutafuta suluhu ya tatizo hili, "AMWAMBIE DADA YAKE UKWELI kwamba ana mahusiano na Shemeji yake..." vinginevyo she is proud of what is going on...
 
This is crazy thing going on in the back of"secret"
 
Back
Top Bottom