Mwanamke hasomeshwi, utajuta

Mwanamke hasomeshwi, utajuta

Na mwanaume hatakiwi kuvumiliwa akiwa anaanza kutafuta maisha from the scratch, wanawake wengi wana tabia ya kuwavumilia wanaume wakiwa bado wanajitafuta wakiamini kwamba wakifanikiwa watafaidi matunda yao, lakini cha ajabu baada ya hao wanaume kufanikiwa huanza kutafuta sasa wanawake wa type zao ambao walikuwa wanawakataa kipindi masikini
 
Comrade umeshauri na kutoa ujumbe mzito sana kuhusu mahusiano uchumba na ndoa.
Big up sana umeeleweka vizur sana 💪

ila huo muonekano unatia kinyaa, unadhoofisha ujumbe huo mzito na kuhamisha mjadala 🐒

achana nao piga Kaz tu...
Wabongo mbona mnapenda kushauriwa vitu vyepesi namna hii? Unashindwa kuona kwamba ni ile ile kanuni ya ''usitumie fedha kununua mapenzi'' ila imezungumziwa tu kwa mifano? Hii kanuni ya kutotumia fedha kama ndoana wakati wa kutafuta mke/mpenzi mbona inajulikana sana? Fedha zinatumika kwenye ''hit and ran'', yaani unagonga na kukimbia, sasa wewe unavua nguo kabisa unataka kulala hapo hapo, hujui akija mwenye fedha zaidi utafukuzwa?
 
Na mwanaume hatakiwi kuvumiliwa akiwa anaanza kutafuta maisha from the scratch, wanawake wengi wana tabia ya kuwavumilia wanaume wakiwa bado wanajitafuta wakiamini kwamba wakifanikiwa watafaidi matunda yao, lakini cha ajabu baada ya hao wanaume kufanikiwa huanza kutafuta sasa wanawake wa type zake ambao walikuwa wanamkataa kipindi masikini
Umeona upande wa pili wa shilingi. Ni kweli kabisa.
 
MWANAMKE ALIYEPO KWENYE CHANGAMOTO HANA UWEZO WA KUFANYA MAAMUZI MAZURI YA UHUSIANO

Na Comrade Ally Maftah

Wanaume wengi tunaingia katika changamoto ya kuwasaidia wanawake kupata mafanikio wayatamanio na baada ya wao kufika kwenye mafanikio haya wanatutema.

Baada ya utafiti wangu wa kina nimegundua kwamba kuna kundi la wanaume wenzangu tumedumbukia kwenye janga la hiyo na hii ni kwa sababu -:

1. Mwanamke akiwa katika changamoto ya mkwamo wa kiuchumi au kukosa ada ya shule ana uwezo wa kufanya lolote ajinasue, atakuwa tayari kufuata maelekezo yako mpaka atakapofanikiwa.

2. Mwanamke akishafanikiwa anatafuta uhuru wa kimahusiano yaani ampate mtu ambaye ni kweli anampa burudisho la nafsi yake.

KIPI ANAKIFANYA AKISHAFANIKIWA
1. Kukudharau na kukuona upo chini ya viwango vyake kimaisha na kielimu.

2. Kutafuta kasoro zote zilizopita huko nyuma na kuziwasilisha upya na hasa kasoro zinazohusu uwezo wa kumudu tendo la ndoa, ili akuondoe kabisa mchezoni asipate mtu wa kumkanya.

NINI MWANAUME UKIFANYE
1. Msaidie mwanamke kwa kiwango chako ambacho hakitakutoa katika uchumi wako, ukiona majukumu yanakuzidi jichomote katika mtego huo mapema

2. Ikitokea mwanamke umemfikisha sehemu na kakukataa "KAUSHA" hakuna mtu humu duniani atakaa upande wako katika kesi ya hivyo, sana sana kuna mwanaume mmoja yeye na kundi lake litaungana na huyo mwanamke na ndugu wa mwanake kumtafutia uhuru.

KITABU CHA SIASA KAZI MAARIFA KITAZUNGUMZIA HAYO

Ndimi
Comrade Ally Maftah
MSHAURI WA NDOAView attachment 2899272
Uko sahihi Comrade
 
 
uko sahihi na siriazi sana 🐒
 
Kweli tupu watu humsaidia mwanamke kuwa single na sio kudumu kwenye ndoa
 
MWANAMKE ALIYEPO KWENYE CHANGAMOTO HANA UWEZO WA KUFANYA MAAMUZI MAZURI YA UHUSIANO

Na Comrade Ally Maftah

Wanaume wengi tunaingia katika changamoto ya kuwasaidia wanawake kupata mafanikio wayatamanio na baada ya wao kufika kwenye mafanikio haya wanatutema.

Baada ya utafiti wangu wa kina nimegundua kwamba kuna kundi la wanaume wenzangu tumedumbukia kwenye janga la hiyo na hii ni kwa sababu -:

1. Mwanamke akiwa katika changamoto ya mkwamo wa kiuchumi au kukosa ada ya shule ana uwezo wa kufanya lolote ajinasue, atakuwa tayari kufuata maelekezo yako mpaka atakapofanikiwa.

2. Mwanamke akishafanikiwa anatafuta uhuru wa kimahusiano yaani ampate mtu ambaye ni kweli anampa burudisho la nafsi yake.

KIPI ANAKIFANYA AKISHAFANIKIWA
1. Kukudharau na kukuona upo chini ya viwango vyake kimaisha na kielimu.

2. Kutafuta kasoro zote zilizopita huko nyuma na kuziwasilisha upya na hasa kasoro zinazohusu uwezo wa kumudu tendo la ndoa, ili akuondoe kabisa mchezoni asipate mtu wa kumkanya.

NINI MWANAUME UKIFANYE
1. Msaidie mwanamke kwa kiwango chako ambacho hakitakutoa katika uchumi wako, ukiona majukumu yanakuzidi jichomote katika mtego huo mapema

2. Ikitokea mwanamke umemfikisha sehemu na kakukataa "KAUSHA" hakuna mtu humu duniani atakaa upande wako katika kesi ya hivyo, sana sana kuna mwanaume mmoja yeye na kundi lake litaungana na huyo mwanamke na ndugu wa mwanake kumtafutia uhuru.

KITABU CHA SIASA KAZI MAARIFA KITAZUNGUMZIA HAYO

Ndimi
Comrade Ally Maftah
MSHAURI WA NDOAView attachment 2899272
Wanawake gani sasa unaowaongelea wewe?
Mnaacha kujipa muda wa kutafuta wanawake, mnaleta uvivu kwenye sensitive project kama hiyo badala yake mnaamua kuchagua Malaya, halafu mnarudi kulaumu na kutukana wanawake?
Wanawake ni wa kutafuta sana, Malaya unajiokotea tu, yeyote kati ya wale unao waona.
Mkitaka Wanawake halisi waongezeke anzeni ninyi kubadilika, tafuteni wanawake achaneni na Malaya.
Kwa sasa kuna kuna Malaya 8 katika kila wanawake 10, tenga muda wa kutosha kutafuta hao wawili ndiyo maana mlifundishwa kutafuta thamani ya "X" na"Y".
 
Ana wivu na wake zetu, mleta mada kafukuzwa kwa mme wa mtu kaja kulalamika humu.
 
MWANAMKE ALIYEPO KWENYE CHANGAMOTO HANA UWEZO WA KUFANYA MAAMUZI MAZURI YA UHUSIANO

Na Comrade Ally Maftah

Wanaume wengi tunaingia katika changamoto ya kuwasaidia wanawake kupata mafanikio wayatamanio na baada ya wao kufika kwenye mafanikio haya wanatutema.

Baada ya utafiti wangu wa kina nimegundua kwamba kuna kundi la wanaume wenzangu tumedumbukia kwenye janga la hiyo na hii ni kwa sababu -:

1. Mwanamke akiwa katika changamoto ya mkwamo wa kiuchumi au kukosa ada ya shule ana uwezo wa kufanya lolote ajinasue, atakuwa tayari kufuata maelekezo yako mpaka atakapofanikiwa.

2. Mwanamke akishafanikiwa anatafuta uhuru wa kimahusiano yaani ampate mtu ambaye ni kweli anampa burudisho la nafsi yake.

KIPI ANAKIFANYA AKISHAFANIKIWA
1. Kukudharau na kukuona upo chini ya viwango vyake kimaisha na kielimu.

2. Kutafuta kasoro zote zilizopita huko nyuma na kuziwasilisha upya na hasa kasoro zinazohusu uwezo wa kumudu tendo la ndoa, ili akuondoe kabisa mchezoni asipate mtu wa kumkanya.

NINI MWANAUME UKIFANYE
1. Msaidie mwanamke kwa kiwango chako ambacho hakitakutoa katika uchumi wako, ukiona majukumu yanakuzidi jichomote katika mtego huo mapema

2. Ikitokea mwanamke umemfikisha sehemu na kakukataa "KAUSHA" hakuna mtu humu duniani atakaa upande wako katika kesi ya hivyo, sana sana kuna mwanaume mmoja yeye na kundi lake litaungana na huyo mwanamke na ndugu wa mwanake kumtafutia uhuru.

KITABU CHA SIASA KAZI MAARIFA KITAZUNGUMZIA HAYO

Ndimi
Comrade Ally Maftah
MSHAURI WA NDOAView attachment 2899272
Duh!
Tatizo nikiwatazama mabinti zangu kama wasingesoma sijuwi ingekuwaje?!
Wacha wasome, mke asome, akizinguwa FUKUZA. Lete mwingine, mwendo huo huo....💪✊🫵🙏🤙
 
Back
Top Bottom