Kule Kwetu
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 3,157
- 1,907
Kwanini hukuamua kumwacha your Man kwasababu hiyo ya kukupiga? Kwanini unaishi na mtu ili tu siku zipite?siku my man alivyonyanyua mkono na kunipiga ni siku iliyobadilisha kila kitu kwenye maisha yetu, sijui namuonaje hata aongee kitu kinapita kulia kinatokea kushoto, nimemshusha thamani kabisa, tunaishi tu siku ziende naigiza kila kitu and i am not committed anymore.
ewe mwanaume usimpige mkeo na ukimpiga akakaa kimya usiamini umeshinda, unaharibu sehemu kubwa sana ya mahusiano yenu.
Wewe ni mchaga wa wapi? Be honest.siwezi kumwua ila namchuna mpaka mwisho yaani nshasema simsaidii chochote hata aumwe atauguzwa na ndugu zake mie aka nipo kwa ajili ya raha tu shida zake hazinihusu.
whaaat???? eti ni mchaga wa wapi?? wewe unamsema mwingine anaboa kwa comments zake za kisiasa halafu wewe hujioni kwa comments kama hizi? huyo mwasita anaboa kweli ila naona anayestahili zaidi ban ni wewe.Wewe ni mchaga wa wapi? Be honest.
Hapana mkuu,wala sikuwa na lengo la ukabila (I think that's what u hv in ua mind) Ila huyo dada katudis sana wanaume...iangalie comment yake.whaaat????? wewe unamsema mwingine anaboa kwa comments zake za kisiasa halafu wewe hujioni kwa comments kama hizi? huyo mwasita anaboa kweli ila naona anayestahili zaidi ban ni wewe.
ebanaee mimi naunga mkono mwanaume kumpiga mwanamke ni jambo la ajabu, na ni udhaifu mkubwa, ila hizo blah blah nyingine za ubavu, sijui ,moyo au kichwa endelea kutafakari vizuri utapata jibu sahihi
m treat mwanamke kutokana na huyo mwanamke alivyo, wewe ukikariri hivyo utajakutana na wanawake waliokuzidi ujanja na wanajua kuigiza wewe useme eti utamlinda, utampenda utamuweka muwe sawa
UTAUMIA
Hahahaaaa mtamaa? Nitakuvizia usiku nakutoa koromeoNo siyo ngumi bali mtama mmoja maridadi tu huwa unawafanya watii baadae
mie mheheWewe ni mchaga wa wapi? Be honest.
inabidi apate maumivu niliyoyapata, yaani namuua kihisia akija kushtuka amekwisha.Kwanini hukuamua kumwacha your Man kwasababu hiyo ya kukupiga? Kwanini unaishi na mtu ili tu siku zipite?
My kaka nawe unapiga??Mambo yamebadilika sana aisee. Hawa mabinti wa siku hizi tabu sana. Ila kumpiga nayo haipendezi pia
na ninaamini unaweza kabisa.....kill him softly....inabidi apate maumivu niliyoyapata, yaani namuua kihisia akija kushtuka amekwisha.
Ukipigwa mtama umeangukia kisogo utakumbuka hata huo uviziaji wako?Hahahaaaa mtamaa? Nitakuvizia usiku nakutoa koromeo
Lakini ajue akiharibu kuna kuonywa, ndio maana enzi Za viboko shuleni watt walikuwa na adabu shuleni sio kama kizazi cha leounaamini ukimpiga atatenda utakacho?
Bila angalau kamtama kidogo aangukie pua damu zichuruzike kidogo mambo hayaendi kwa nyie watuMy kaka nawe unapiga??