Mwanamke hapendi kukata kiuno halafu ananiganda

Mwanamke hapendi kukata kiuno halafu ananiganda

Leo umeamkia mkono upi? mara nataka kuoa sina kitu mara hajui kukata kiuno. Duuh ama kweli technolojia inakuja na mambo leo.
 
Wadau, Kuna binti mmoja anajidai ananipenda ila kinachonishangaza ni kitandani yeye anajikalisha tu, hataki kubadli staili tofauti anadaI ATAUMIA.

Yeye anataka staili tatu tu, angali mimi napenda staili nyingi hivyo kuto enjoy mapenzi. cha kushangaza binti kaniganda na ndugu zake wameshaanza kunifahamu.

Mnanishaurije wadau niendelee nae nimuoe au nimpotezee maana simuelewi, anadai nikimuacha atajiuwa.

inaonyesha wewe ni 'stylist'
 
Hamna kujiua wala nin,hayo ni maneno wanayoyatoa ili usimuache wala usifikirie kumuacha ila in reality hamna kujiua wala nin.Embu taja alphabet ya kwanza la jina la huyo dada mana nshawahi kukutana na kisanga hicho hicho ila ndio hivo,siku ikifika then huwez zuia
 
yah!!! mkuu kama vp kata tu wewe inatosha imeandikwa mwanamke atawaacha wazazi wake na kuungana na mwanamme kuwa mwili mmoja hivyo kama mmekuwa mwili mmoja ukikata wewe ndo kashakata yeye upo hapo!!!!
kuna swali la nyongeza....!!!?
 
Wadau, Kuna binti mmoja anajidai ananipenda ila kinachonishangaza ni kitandani yeye anajikalisha tu, hataki kubadli staili tofauti anadaI ATAUMIA.

Yeye anataka staili tatu tu, angali mimi napenda staili nyingi hivyo kuto enjoy mapenzi. cha kushangaza binti kaniganda na ndugu zake wameshaanza kunifahamu.

Mnanishaurije wadau niendelee nae nimuoe au nimpotezee maana simuelewi, anadai nikimuacha atajiuwa.

Mkuu unataka kuanzisha bendi ili awe miongoni mwa wanenguaji wako? hebu nambie hizo staili tatu anazopenda ni zipi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom