Sitakaa niwape watu maujanja hata siku moja, kwa sababu ukiwaambia hawataamini, ukiwaandikia watasoma lakini hawataelewa!
Mimi mke wangu mpaka huwa ananiburuza hata kama nina kazi akitaka tuende kitandani. Jana nilimkuta ametandika chini, akaniambia leo nataka tufanye hapa, nilivyompa haki yake alilia, I mean machozi! Nikajiuliza nimemfanyaje! Dah, akaniambia "umenipa utamu usio wa kawaida, naumia iwapo utanisaliti na kutembea na wanawake wengine watakung'ang'ania halafu unaweza kuniacha". Nilimwambia siwezi kumpa mwanamke mwingine isipokuwa wewe tu, forever!
Jana baada ya kumwambia hayo maneno, akaniuliza nifanye nini ili usiweze kuniacha? Nikamjibu nitakuwa pamoja nawe mpaka mwisho wa uhai wangu au wako hapa duniani, cha msingi papuchi yangu isiguswe wala kuonwa na mtu yeyote!
Akaniambia nitaitunza, unavyonipa hivi nitoke niende wapi na kwa nini? Akalia tena, nikamwambia "nyamaza mke wangu, nitakupa kila kitu: mahitaji ya mwili, dushe and beyond, don't make mistake, my heart will adore you forever, my arms won't let your heart break, endless unconditional love guaranteed".
Basi baada ya hapo alinipikia chakula "cha jioni" kizuri na kunilisha mwanzo mwisho, nikamwambia acha tu dear nile mwenyewe, akaniambia sitaki, huku macho yanamlengalenga machozi!