Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #41
Sasa wewe nawe maswali yamezidi mno ushaambiwa mwalimu unataka tena msingi or sec, ukijibiwa utauliza anayefundisha somo gani???
Punguza uchaguzi Ivuga utaambulia koroma wewe haya mie nimejitolea umesema nimeolewa (Sijui nani alikwambia na kwa ushahidi gani)
poa dada hujaolewa. Kwa hiyo wewe upo kundi gani?