Mwanamke bila nguo wengi ni majanga

Mwanamke bila nguo wengi ni majanga

Status
Not open for further replies.
Acha kushambulia wanawake!! Hata mama yako aliyekuzaa ni mwanamke na baada ya kuwazaa ninyi matiti yalilala mithili ya lapa, michirizi katika mwili, ngozi kunyauka, n.k. Unataka mwanamke akizaa aendelee kuwa kigoli??? Kwa wale wanawake ambao bado ni mabinti hakika pengine wanatakiwa waji keep zaidi but unapozungumzia mwanamke ambaye ameshazaa na ambaye pengine mume wake ni mlafi wa 6x6 inamlazimu kumeza au kutumia uzazi wa mpango ni lazima mwili wake ubadilike!!! Kwa mantiki hii tuchunge sana midomo yetu tunapozungumzia wanawake, weka category ya wasichana na wamama. Vinginevyo tutakuwa tunatukana wamama wetu bila kujitambua. Angalizo, hata kama umezaa mwanamke jitahidi kufanya mazoezi, kula mboga na matunda kwa wingi, maji ya kunywa na maziwa (mgando na fresh).

Like like
 
Ni kweli unachokisema lakini mleta hoja si ameongea ukweli wapi ambapo amekosea na yeye anamini kuwa siyo wote walio kama hivyo lakini majority wako hivyo mfano kama huyo kwenye avator yako hakika akivua ngua huo uzuri hautakuwepo tena samahani lakini...ndio maana mwisho akatoa ushauri kuwa mfanye mazoezi hana nia mbaya mleta maada

wote hatuwezi kufanya mazoezi,,,,,,,, sa ye kama anapenda viwango aghalamike kupata anachotaka.
 
dah kaazi kweli kweli hawa wanawake wanaopigwa vijembe ndo hawa hawa dada zetu na mama zetu yani, dadako ndo demu wa msela fulani hivi afu demu alokupiga kibuti ndo dadake mchizi. afu hako kavicious cycle kanaendelea mpaka tunakua wote ni ndugu moja afu ndo unaona uchugu wa nduguyo kuitwa hana mvuto akivuliwa nguo. imagine tu jamaa fulani anakuja afu anakuambia ujue dadaako akivua nguo anatisha utajisikiaje?
My take ukimwona mtu hajakuvutia kunako faragha ni ustaarabu sana ukamweleza pekee ungemsaidia kuliko kuja kumdhalilisha huku....
 
dah kaazi kweli kweli hawa wanawake wanaopigwa vijembe ndo hawa hawa dada zetu na mama zetu yani, dadako ndo demu wa msela fulani hivi afu demu alokupiga kibuti ndo dadake mchizi. afu hako kavicious cycle kanaendelea mpaka tunakua wote ni ndugu moja afu ndo unaona uchugu wa nduguyo kuitwa hana mvuto akivuliwa nguo. imagine tu jamaa fulani anakuja afu anakuambia ujue dadaako akivua nguo anatisha utajisikiaje?
My take ukimwona mtu hajakuvutia kunako faragha ni ustaarabu sana ukamweleza pekee ungemsaidia kuliko kuja kumdhalilisha huku....



Unaakili wewe!!!

Mpigieni makofi tafadhali
 
atajijua yeye...sijui hajawahi kukutana na mazuri ya wanawake

mmh word!
kila siku ana majanga tu na wanawake duuh! hajawahi kuona jema.
well ni iv hao wakip-lastic surgery na gym unaowataka wapo saana gharama babu tafuta hela utavipata otherwise endelea na hao hao size yako wacha kutupigia kelele humu.
 
haya bhana unauziwa mbuzi kwenye mfuko..pole sanaa bwana mdogo
 
Hivi ukitaka kutukana na usisutwe unamtukana mwanamkeeeeeeeee???????? Jamaa yangu hapa umekengeuka kwani ni matusi kwa wanawake think about, hamna anayependa hali hiyo ndio maana wanajisetiri kihivyo...Sijui kama unajua dhamani ya mwanamke mkuu...to me mwanamke ni kila kitu kwangu nawaheshimu sana. From my mum, my sister to my wife full respect.
 
Ya, kweli kabisa. Ndio maana mi nikiwa na demu room huwa napenda abaki na chu-pi yake na sidiria. Nakula kiaina, nanyonya kiaina.
 
mmh word!
kila siku ana majanga tu na wanawake duuh! hajawahi kuona jema.
well ni iv hao wakip-lastic surgery na gym unaowataka wapo saana gharama babu tafuta hela utavipata otherwise endelea na hao hao size yako wacha kutupigia kelele humu.

kumbe na wewe umemuona....
hiyo ndo size yake ukute ye mwenyewe ndo vile hakafu anataka vitu classy
 
Acha niseme kweli,

Wanawake wengi wakivaa nguo wanaonekana nadhifu sana kila idara, yaani ukimuangalia nyuma alivyojaza unatamani angekuwa wakuliwa kama nyama. Matiti yalivyonyanyuka, tumbo lilivyobanwa vizuri, nywele safi mguu wa bia yaani:smile-big:unaweza kudhani sasa umezimia. Kiukweli wanawake wakiwa wamevaa nguo zao hasa za siku hizi ni wazuri sana kwakweli.

Haya sasa majanga yanapoanzia:-
Wengi wawanawake hao ambao hupendeza sana ikitokea ula bahati ya kwenda naye 6X6 akavua nguo zake wengi wao mimi huwa naishia bao moja tu nguvu inapotea kabisa na hamu inaisha kabisa nashindwa kurudi tena, unajua kwanini wengi wao ni wabaya sana bila nguo, unakuta matiti hayo uliyokuwa unayaona yamesimama yaani yalishalegea kuliko hata ndala. Hilo tumbo lililokuwa limekaza limelegea yaani hata huwezi kulitamani, hizo "hipusi" zilizokuwa nimekaa vizuri kwenye suruali ya jinsi boumba ni majanga tu yaani na matumbo ya siku hizi ya chips. Yyani mwili umejaa minyamanyama tu isiyo na sababu.

Ombi kwa wanawake.
Fanyeni mazoezi kumantain miili yetu jaman, maana unakuta binti mdogo tu lakini akitoa nguo kila kitu kimelegea.

Mnisamehe wanawake.
kama wanawake ni wabaya. achana nao chukua wanaume wenzio. au wewe mwenyewe uwe mwanamke wa wanaume wenzio. maana bila shaka utakuwa mzuri kuliko wanawake.
 
Hivi wewe Majaribu2013 kila siku wewe ni wanawake tu wanwake tu sio?

FYI .................ukiona mtu anapiga kelele sana kama wewe ujue wewe wa barazani tu wala hata ndani huingii!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
hahahah
mi mtu akisema vibaya wanawake hata siumii kwa kweli sababu
kazaliwa na mwanamke
ana ndugu/dada > ni wanawake
hapo hapo atakaemuoa ni mwanamke

mti wenye matunda ndio unaopopolewa
 
Mimi sijui nipo tofauti na wengine? hata sijui Mimi nikiwa na uhusiano na mwanamke yeyote husa tayari nilisga mscan hivyo ntajua yupo vipi kabla ya kulala naye na huwa ninachofikiria ndicho huwa nakutana nacho hata ni mkute na vikovu vyeusi vya zamani mimi ukaushia kwa kuingozwa na neno hakuna aliyekamilika mimi usukumwa na mapenzi yaliyonipeleka kwake hivyo nikimuona for the first sight na mkamilisha kwa jinsi nilivyo muona kavaa kwani najua huyu hawezi kuwa na chuchu lege hivyo kayapiga jeki pili umbo lake litanionyesha natumbo lake likoje takoh lake nitajua yukoje hapo najua na mbunye imekaa vipi!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom