Mwanamke bila nguo wengi ni majanga

Mwanamke bila nguo wengi ni majanga

Status
Not open for further replies.
mhhh:naona nimeingia choo cha kike,acha nisepe!
 
Cha ajabu nini?na hiyo ndo sababu wanaitwa wanawake mkuu!
 
nimesoma hizi post za wanawake mpk zinachosha sasa.. Hv mwanaume akivua nguo ndo anapendeza?tena mi nadhani baadhi ya wanaume wangeshukuru tu nguo zinawasitiri mana majority wakitoa ni vituko vitupu. Mtuwacheee
 
Hizo type unazokutana nazo ndo standard yako!!!!!!!!!!!!!!!!! once status ikipanda utakutana na watoto wazuri kama sie................... usitulaumu wanakwake laumu ubongo wako mgando unaokufanya ushindwe ku make money!!!!!!!!!!!!!!"""""""

Heheeeeeeeeeeeeeeee,,,,,,,,, wanawake standard unaotaka huwezi kuwapata bila ya fedha.
 
waache wanawake wapumue bana

Tena atuache!!!!
Yaani mtu anaamka tu siku kiwango kimeshuka anaishia paper 1 tu anatwisha lawama wanawake! Ajipange sana tu,eti wanawake wabaya wakivua nguo! Kama yeye anavutia bila nguo mbona anazivaa?
Atuacheee miaka elfu
 
mtawasema sana wanawake lkn hta sasa unapanga folen nyuma ya mwenzio kuomba liwazo
 
Hizo type unazokutana nazo ndo standard yako!!!!!!!!!!!!!!!!! once status ikipanda utakutana na watoto wazuri kama sie................... usitulaumu wanakwake laumu ubongo wako mgando unaokufanya ushindwe ku make money!!!!!!!!!!!!!!"""""""

Heheeeeeeeeeeeeeeee,,,,,,,,, wanawake standard unaotaka huwezi kuwapata bila ya fedha.

Ni kweli unachokisema lakini mleta hoja si ameongea ukweli wapi ambapo amekosea na yeye anamini kuwa siyo wote walio kama hivyo lakini majority wako hivyo mfano kama huyo kwenye avator yako hakika akivua ngua huo uzuri hautakuwepo tena samahani lakini...ndio maana mwisho akatoa ushauri kuwa mfanye mazoezi hana nia mbaya mleta maada
 
Je nao wakifanya utafiti "KA GOLI KAMOJA" ???????? mhh...umechoka wewe.
 
Mimi naona mtoa mada hayuko sawa kimawazo na kiakili, mwenye akili lazima awe ana aibu hata kidogo.

Mtoa mada hivi unaona sifa kupanda panda wanawake, dogo uwanaume nikuheshimu uume wako kwanzo kabla ya kuutambaza kila kona, hivi wewe hujioni ni sawa sawa na wale vichaa wanao kaa uchi, unadhani kupanda sana wanawake wengi ndo uwanaume.

Si una ona unavyo jitia aibu sasa mpaa huwezi mabao mawili ni kimoja tu uko hoi, pole sana siku ukija kuwa na akili timamu utajua kumbe kuzini sana ni ujinga tu.
 
hata baadhi ya wanaume wanatisha wakivua nguo unakuta mwili mzima umezungukwa na manyoya pyuuu hamu yote inaisha
 
kwenye samaki aliyechina sasa ndio kaaaazzzii kweeeeli
 
Acha niseme kweli,

Wanawake wengi wakivaa nguo wanaonekana nadhifu sana kila idara, yaani ukimuangalia nyuma alivyojaza unatamani angekuwa wakuliwa kama nyama. Matiti yalivyonyanyuka, tumbo lilivyobanwa vizuri, nywele safi mguu wa bia yaani:smile-big:unaweza kudhani sasa umezimia. Kiukweli wanawake wakiwa wamevaa nguo zao hasa za siku hizi ni wazuri sana kwakweli.

Haya sasa majanga yanapoanzia:-
Wengi wawanawake hao ambao hupendeza sana ikitokea ula bahati ya kwenda naye 6X6 akavua nguo zake wengi wao mimi huwa naishia bao moja tu nguvu inapotea kabisa na hamu inaisha kabisa nashindwa kurudi tena, unajua kwanini wengi wao ni wabaya sana bila nguo, unakuta matiti hayo uliyokuwa unayaona yamesimama yaani yalishalegea kuliko hata ndala. Hilo tumbo lililokuwa limekaza limelegea yaani hata huwezi kulitamani, hizo "hipusi" zilizokuwa nimekaa vizuri kwenye suruali ya jinsi boumba ni majanga tu yaani na matumbo ya siku hizi ya chips. Yyani mwili umejaa minyamanyama tu isiyo na sababu.

Ombi kwa wanawake.
Fanyeni mazoezi kumantain miili yetu jaman, maana unakuta binti mdogo tu lakini akitoa nguo kila kitu kimelegea.

Mnisamehe wanawake.
Acha kushambulia wanawake!! Hata mama yako aliyekuzaa ni mwanamke na baada ya kuwazaa ninyi matiti yalilala mithili ya lapa, michirizi katika mwili, ngozi kunyauka, n.k. Unataka mwanamke akizaa aendelee kuwa kigoli??? Kwa wale wanawake ambao bado ni mabinti hakika pengine wanatakiwa waji keep zaidi but unapozungumzia mwanamke ambaye ameshazaa na ambaye pengine mume wake ni mlafi wa 6x6 inamlazimu kumeza au kutumia uzazi wa mpango ni lazima mwili wake ubadilike!!! Kwa mantiki hii tuchunge sana midomo yetu tunapozungumzia wanawake, weka category ya wasichana na wamama. Vinginevyo tutakuwa tunatukana wamama wetu bila kujitambua. Angalizo, hata kama umezaa mwanamke jitahidi kufanya mazoezi, kula mboga na matunda kwa wingi, maji ya kunywa na maziwa (mgando na fresh).
 
WhoLetTheDogsOut-RevisedLogo2.gif

Woooo!wooo!wooo!
 
Acha niseme kweli,

Wanawake wengi wakivaa nguo wanaonekana nadhifu sana kila idara, yaani ukimuangalia nyuma alivyojaza unatamani angekuwa wakuliwa kama nyama. Matiti yalivyonyanyuka, tumbo lilivyobanwa vizuri, nywele safi mguu wa bia yaani:smile-big:unaweza kudhani sasa umezimia. Kiukweli wanawake wakiwa wamevaa nguo zao hasa za siku hizi ni wazuri sana kwakweli.

Haya sasa majanga yanapoanzia:-
Wengi wawanawake hao ambao hupendeza sana ikitokea ula bahati ya kwenda naye 6X6 akavua nguo zake wengi wao mimi huwa naishia bao moja tu nguvu inapotea kabisa na hamu inaisha kabisa nashindwa kurudi tena, unajua kwanini wengi wao ni wabaya sana bila nguo, unakuta matiti hayo uliyokuwa unayaona yamesimama yaani yalishalegea kuliko hata ndala. Hilo tumbo lililokuwa limekaza limelegea yaani hata huwezi kulitamani, hizo "hipusi" zilizokuwa nimekaa vizuri kwenye suruali ya jinsi boumba ni majanga tu yaani na matumbo ya siku hizi ya chips. Yyani mwili umejaa minyamanyama tu isiyo na sababu.

Ombi kwa wanawake.
Fanyeni mazoezi kumantain miili yetu jaman, maana unakuta binti mdogo tu lakini akitoa nguo kila kitu kimelegea.

Mnisamehe wanawake.

Yamelaaniwa matiti uliyonya na siku uliyozaliwa. Uasherati wako utakuponza. Jaribu kuwa mstaarabu kidogo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom