man of the year
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 422
- 205
- Thread starter
- #41
hapa nimepata kitu na pakuanzia....
Habari za muda huu ndugu zangu kuna jambo moja limenishangaza nikaona sio vibaya tukishirikiana kulitatua kama nitamkwaza mtu naomba aniwie radhi nipo na girlfriend wangu kwa muda mrefu bila kufanya tendo la ndoa week iliopita tukaamua kufanya wakati wa tendo njia ilikuwa ndogo alikuwa akiugulia kwa maumivu makali jambo lililo nipa maswali sikuona hata tone la damu.
Je kweli ilikuwepo au nilidanganywa?
Af unajiita man of the year....kweli uanaume siku hizi si mali kitu...suruali tu
Sasa comment yako inahusika vp na mada? Au unaumizwa ikisikia bikra? Me coni kosa la mtoa mada hadi acwe Man of the Year, km mtu hajawahi toa msichana bikra hawezi kuijua. Wapo wanaume wengi tu hawajawahi kukutana na bikra na ni wanaume malijaro na watanashati, inategemea background ya mvulana wengine walikua walikulia maznhira ya dini. Maadam kaleta swali sehemu hucka msaidieni co kujifanya mnajua sn ngono. Kuzijua bikra hakukufanyi kuwa Man of the Year wala kutozijua hakukufanyi kutokuwa Man of the Year. Watu wamekua Miss Tanzania na skendo kibao na watoto juu, nyi vp!
Kwanza nikutaarifu kuwa mimi ni ke maana nahisi inadhani mimi ni me. Tukirudi kwenye comment yangu nahisi hata hujaelewa nlikuwa namaanisha nini umekurupuka tu. Mantiki yangu ni kwamba swali lake ni la kipuuzi. Anaonekana mvulana huyo uanaume hajaufikia bado ndio maana mi kwa mtazamo wangu naona hastahili kujiita 'man of the year' mwanaume aliyekamilika hawezi kuanzisha thread ya namna hiyo kutueleza jinsi alivyofanya mapenzi na mpenz wake af atuulize kuwa eti ni bikra au sio bikra.....