Mwanamke bikra

Mwanamke bikra

man of the year

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2014
Posts
422
Reaction score
205
Habari za muda huu ndugu zangu kuna jambo moja limenishangaza nikaona sio vibaya tukishirikiana kulitatua kama nitamkwaza mtu naomba aniwie radhi nipo na girlfriend wangu kwa muda mrefu bila kufanya tendo la ndoa week iliopita tukaamua kufanya wakati wa tendo njia ilikuwa ndogo alikuwa akiugulia kwa maumivu makali jambo lililo nipa maswali sikuona hata tone la damu.

Je kweli ilikuwepo au nilidanganywa?
 
habari za muda huu ndugu zangu kuna jambo moja limenishangaza nikaona sio vibaya tukishirikiana kulitatua kama ntamkwaza mtu naomba aniwie radhi nipo na girlfriend wangu kwa muda mrefu bila kufanya tendo la ndoa week iliopita tukaamua kufanya wakati wa tendo njia ilikuwa ndogo alikuwa akiugulia kwa maumivu makali jambo lililo nipa maswali sikuona hata tone la damu....je kweli ilikuwepo au nilidanganywa?

watafiti wa jf njoon hapa mtoe majibu
 
Uone damu kwani ulikuwa unamgegeda wakati wa siku saké??
 
jibu kwanza hayo maswali
 
Hahahaha..umewekea ndimu na tangawizi chini kitu kimebana!!!
 
Ongezeko la vijana wala chips,wanaoshinda saloon,wanaonyoa viduku,wanaovalia suruali chini ya ------ ili goli lionekane,wanaobana pua na wanaoishi kwa nguvu ya wazazi ni chanzo cha wanaume kudharaulika...

Hahaaaaaa
 
habari za muda huu ndugu zangu kuna jambo moja limenishangaza nikaona sio vibaya tukishirikiana kulitatua kama ntamkwaza mtu naomba aniwie radhi nipo na girlfriend wangu kwa muda mrefu bila kufanya tendo la ndoa week iliopita tukaamua kufanya wakati wa tendo njia ilikuwa ndogo alikuwa akiugulia kwa maumivu makali jambo lililo nipa maswali sikuona hata tone la damu....je kweli ilikuwepo au nilidanganywa?

Ulidanganywa siku hizi ziko za kichina utadhani unaingiza goti kwenye tundu la pua
 
Ongezeko la vijana wala chips,wanaoshinda saloon,wanaonyoa viduku,wanaovalia suruali chini ya ------ ili goli lionekane,wanaobana pua na wanaoishi kwa nguvu ya wazazi ni chanzo cha wanaume kudharaulika...

Teh teh teh kweli kabisa
 
habari za muda huu ndugu zangu kuna jambo moja limenishangaza nikaona sio vibaya tukishirikiana kulitatua kama ntamkwaza mtu naomba aniwie radhi nipo na girlfriend wangu kwa muda mrefu bila kufanya tendo la ndoa week iliopita tukaamua kufanya wakati wa tendo njia ilikuwa ndogo alikuwa akiugulia kwa maumivu makali jambo lililo nipa maswali sikuona hata tone la damu....je kweli ilikuwepo au nilidanganywa?

una miaka mingap? huenda ndo kwanza unavunja ungo ww! inabidi ujue "SI KILA ANAYELIA ANA MAUMIVU, WENGINE HUNOGESHA GEMU TU"
 
Back
Top Bottom