mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,314
- 290
... kuna mwanamke mmoja nilikua naongea nae tena ye ni mke wa mtu (ni kawaida yangu kuwa na mazoea na wake za watu japo kwa nia njema)...and katika stori stori za hapa na pale nikamwambia, 'me i think unapofunga ndoa na mwanamke kisha mkazaa watoto, basi mnakua ndugu kabisa, kwa maana ya kwamba uwepo wa watoto wale umechangiwa nanyi wawili (under assumption kwamba hao watoto ni wa ndani ya ndoa), na wao kwa kuwepo kwao kwafanya nyinyi kuwa zaidi ya mke na mume...
Kwamba hata kama mtakoseana vp lakini kuna undugu kati yenu ambao umesababishwa na uwepo wa wale watoto...
Well ye alinijibu kwamba 'wacha kujidanganya wale watoto ndo ndugu zako yule mwanamke sio ndugu yako hata siku moja...'nikajiuliza ye ana mume na ana watoto watatu how come anasema hivi (tena ukizingatia anaupinga upande wake)...
Sikutaka kubishana coz kwanza sijaoa sina mke wala uzoefu na hayo mambo...halafu pia nikasema yawezekana mawazo yangu ya ki bilogoia haya apply kwenye real life...lakini hata hivyo sikuridhika na majibu yake kutokana na uhusiano wa moja kwa moja ninaouona baada ya mke na mume kupata watoto...
Sasa enyi wana JF mliooa, mlioolewa na hata mabachelor kama mimi mnaweza liongelea vp hili suala...
Naombeni tafadhali mtatue utata...
Kwamba hata kama mtakoseana vp lakini kuna undugu kati yenu ambao umesababishwa na uwepo wa wale watoto...
Well ye alinijibu kwamba 'wacha kujidanganya wale watoto ndo ndugu zako yule mwanamke sio ndugu yako hata siku moja...'nikajiuliza ye ana mume na ana watoto watatu how come anasema hivi (tena ukizingatia anaupinga upande wake)...
Sikutaka kubishana coz kwanza sijaoa sina mke wala uzoefu na hayo mambo...halafu pia nikasema yawezekana mawazo yangu ya ki bilogoia haya apply kwenye real life...lakini hata hivyo sikuridhika na majibu yake kutokana na uhusiano wa moja kwa moja ninaouona baada ya mke na mume kupata watoto...
Sasa enyi wana JF mliooa, mlioolewa na hata mabachelor kama mimi mnaweza liongelea vp hili suala...
Naombeni tafadhali mtatue utata...