Mwanamke apewa daraja la upadri

Mwanamke apewa daraja la upadri

ANDIKO LINASEMA

1 timothy 11

Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.-
12-Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu.-
13-Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye.-

Yesu anasema MWANAMKE AKAE KIMYA!
HAKUNA RUKSA KUFUNDISHA.

Hapa Yesu anaendelea kumwambia MWANAMKE.

1 Wakolosai 14:34 -35

Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.-
35-Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.-

Enyi wanawake wa KIKRISTO!
FUNGENI MIDOMO YENU, Bwana YESU KASEMA!

Sasa kwa Mujibu wa ANDIKO huyo.mwanamke ni HARAMU TUPU.
Matola

Wanawake ni haram kwa Imani yako. Sisi tunawaheshimu maana bila wao hakuna binadamu. Mama yako amekuchangia Chromosome 23 sawa na baba yako. Huna adabu
 
Wanawake ni haram kwa Imani yako. Sisi tunawaheshimu maana bila wao hakuna binadamu. Mama yako amekuchangia Chromosome 23 sawa na baba yako. Huna adabu

ANDIKO LINASEMA

1 timothy 11

Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.-
12-Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu.-
13-Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye.-

Yesu anasema MWANAMKE AKAE KIMYA!
HAKUNA RUKSA KUFUNDISHA.

Hapa Yesu anaendelea kumwambia MWANAMKE.

1 Wakolosai 14:34 -35

Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.-
35-Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.-

Enyi wanawake wa KIKRISTO!
FUNGENI MIDOMO YENU, Bwana YESU KASEMA!

Sasa kwa Mujibu wa ANDIKO huyo.mwanamke ni HARAMU TUPU.
Matola

Labda we Kakende umesilimu lkn kama bado ni MGALATIA basi andiko lako linakwambia mwanamke ni kama uchafu tu! Akae mbali, tena akiwa na janaba ndio balaa kabisa!

Hebu soma andiko linavyosema. Hapa.

"Mwanamke yeyote,kama-anatokwa na kitu, na kitu chake alichokuwa nacho mwilini mwake ni damu, ataketi katika kutengwa kwake muda wa siku saba na mtu yeyote atakayemgusa atakuwa najisi hata jioni. (Mambo ya Walawi 15:19)".

Yaani utafkiri kutokwa na damu ni kosa la jinai!

Na wewe ulivyokuwa na elimu ndogo ya andiko lzm utakuwa NAJISI MPAKA KESHO!

teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Wanawake ni haram kwa Imani yako. Sisi tunawaheshimu maana bila wao hakuna binadamu. Mama yako amekuchangia Chromosome 23 sawa na baba yako. Huna adabu

ANDIKO LINASEMA

1 timothy 11

Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.-
12-Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu.-
13-Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye.-

Yesu anasema MWANAMKE AKAE KIMYA!
HAKUNA RUKSA KUFUNDISHA.

Hapa Yesu anaendelea kumwambia MWANAMKE.

1 Wakolosai 14:34 -35

Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.-
35-Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.-

Enyi wanawake wa KIKRISTO!
FUNGENI MIDOMO YENU, Bwana YESU KASEMA!

Sasa kwa Mujibu wa ANDIKO huyo.mwanamke ni HARAMU TUPU.
Matola

Labda we Kakende umesilimu lkn kama bado ni MGALATIA basi andiko lako linakwambia mwanamke ni kama uchafu tu! Akae mbali, tena akiwa na janaba ndio balaa kabisa!

Hebu soma andiko linavyosema. Hapa.

"Mwanamke yeyote,kama-anatokwa na kitu, na kitu chake alichokuwa nacho mwilini mwake ni damu, ataketi katika kutengwa kwake muda wa siku saba na mtu yeyote atakayemgusa atakuwa najisi hata jioni. (Mambo ya Walawi 15:19)".

Yaani utafkiri kutokwa na damu ni kosa la jinai!

Na wewe ulivyokuwa na elimu ndogo ya andiko lzm utakuwa NAJISI MPAKA KESHO!

teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom