Tanzania hadi mufti mwananke anahitajika
ANDIKO LINASEMA
1 timothy 11
Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.-
12-Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu.-
13-Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye.-
Yesu anasema MWANAMKE AKAE KIMYA!
HAKUNA RUKSA KUFUNDISHA.
Hapa Yesu anaendelea kumwambia MWANAMKE.
1 Wakolosai 14:34 -35
Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.-
35-Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.-
Enyi wanawake wa KIKRISTO!
FUNGENI MIDOMO YENU, Bwana YESU KASEMA!
Sasa kwa Mujibu wa ANDIKO huyo.mwanamke ni HARAMU TUPU.
Matola
Wanawake ni haram kwa Imani yako. Sisi tunawaheshimu maana bila wao hakuna binadamu. Mama yako amekuchangia Chromosome 23 sawa na baba yako. Huna adabu
ANDIKO LINASEMA
1 timothy 11
Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.-
12-Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu.-
13-Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye.-
Yesu anasema MWANAMKE AKAE KIMYA!
HAKUNA RUKSA KUFUNDISHA.
Hapa Yesu anaendelea kumwambia MWANAMKE.
1 Wakolosai 14:34 -35
Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.-
35-Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.-
Enyi wanawake wa KIKRISTO!
FUNGENI MIDOMO YENU, Bwana YESU KASEMA!
Sasa kwa Mujibu wa ANDIKO huyo.mwanamke ni HARAMU TUPU.
Matola
Wanawake ni haram kwa Imani yako. Sisi tunawaheshimu maana bila wao hakuna binadamu. Mama yako amekuchangia Chromosome 23 sawa na baba yako. Huna adabu
ANDIKO LINASEMA
1 timothy 11
Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.-
12-Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu.-
13-Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye.-
Yesu anasema MWANAMKE AKAE KIMYA!
HAKUNA RUKSA KUFUNDISHA.
Hapa Yesu anaendelea kumwambia MWANAMKE.
1 Wakolosai 14:34 -35
Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.-
35-Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.-
Enyi wanawake wa KIKRISTO!
FUNGENI MIDOMO YENU, Bwana YESU KASEMA!
Sasa kwa Mujibu wa ANDIKO huyo.mwanamke ni HARAMU TUPU.
Matola