Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 213
Wahi kwa Dr.
Of course kuna kaukwel hapa wanaume wengi tunapagawa na wanawake wa style hio ila asitukane sana akapitiliza halafu pia kwenye kigezo cha kuoa mwanamke wa hivo nadhani umekoseaHabari wadau,
Mimi mgeni humu jamani naomba ruhusa yenu nipost humu
Mimi bwana huwa napenda sana mwanamke anayetukana...Yani mwanamke akiwa anatukana mi huwa napanda genye balaa. Haswa yale matusi ya nguoni yale.
Nakumbuka nilipokuwa form six mwaka 2000, kuna demu mmoja jirani yetu niliwahi kumrekodi anatukana ndo nikawa naitumia "kurekebisha mambo fulani" nikiwa chooni.
Hata wakati naoa nilikuwa nimeweka kigezo kikubwa kuwa mwanamke lazma awe anajua kutukana. Nilishawahi kwenda kutoa posa sehemu nikamwita mschana pembeni nikamuomba anitukane (Of coz alishangaa) nilivyoona ananitolea tu mimacho nikasepa.
But huyu niliyenaye muda huu anatukana balaa. Kwa hiyo naenjoy tu....Nikifika tu home anaanza matusi basi fasta tunaelekea chumbani...
(Nasubiri kusikia mwingine aseme naye ana tabia kama hii)
mambo....??? upo...?hili ni pepo nalo litabidi liombewe likutoke khaa dunia ina mambo...
we ndo umemaliza kabisaWanaume wengi huwa wanapenda wanawake wenye tabia zinazofanana na tabia za mama zao
nitafute jamaa yangu,....!!poa...niajee!
Kweli kabisa...This is truth, vivyo hivyo wanawake wengi hupenda wanaume wenye tabia kama za baba zao.
subiri mwaka uishe..nitafute jamaa yangu,....!!