Mwanamke anayetukana ananikosha sana

Mwanamke anayetukana ananikosha sana

Nadhani bange ya miaka ya hivi karibuni imeongezeka ama kupungua kitu.
Ila tu sijui ni kitu gani. ....
 
Mkuu,mwaka 2000 ndo ulimaliza six.approximately saiv una age ya 37...lakn nikihusianisha na post yako.Too childish.....
 
Hiyo ni spirit kemea katika jina la yesu ~~~~shindwaaaaaaaa
 
Duuu...hii thread ni funga mwaka 2015.

Habari wadau,
Mimi mgeni humu jamani naomba ruhusa yenu nipost humu

Mimi bwana huwa napenda sana mwanamke anayetukana...Yani mwanamke akiwa anatukana mi huwa napanda genye balaa. Haswa yale matusi ya nguoni yale.

Nakumbuka nilipokuwa form six mwaka 2000, kuna demu mmoja jirani yetu niliwahi kumrekodi anatukana ndo nikawa naitumia "kurekebisha mambo fulani" nikiwa chooni.

Hata wakati naoa nilikuwa nimeweka kigezo kikubwa kuwa mwanamke lazma awe anajua kutukana. Nilishawahi kwenda kutoa posa sehemu nikamwita mschana pembeni nikamuomba anitukane (Of coz alishangaa) nilivyoona ananitolea tu mimacho nikasepa.

But huyu niliyenaye muda huu anatukana balaa. Kwa hiyo naenjoy tu....Nikifika tu home anaanza matusi basi fasta tunaelekea chumbani...

(Nasubiri kusikia mwingine aseme naye ana tabia kama hii)
 
huyu jamaa ni noma but hamfikii yule mmoja aliyeleta mada kuwa yeye anampenda demu wake wakati anapokunya.ahahahah
 
Kiukwel mwanamke anaetukana hapana aisee
 
huyu jamaa ni noma but hamfikii yule mmoja aliyeleta mada kuwa yeye anampenda demu wake wakati anapokunya.ahahahah
Ha haaaa ile ilikuwa kali zaidi, eti anapenda amchungulie wakati anajikamua ndo raha yake.....
 
Kuanzia kunyegeshana, romance hadi mgegedo ni matusi mwanzo mwisho?? Dirty talks sawa lakini si matusi ya nguoni aisee!! hahaaaa natamani niyasikie kwikwiii!!
 
Back
Top Bottom