Mwanamke anayejiweza kimaisha

Mwanamke anayejiweza kimaisha

  • Thread starter Thread starter JS
  • Start date Start date
teamo ndio maana nikaja na reputable journal papers kwa sababu sikutaka kukuletea ushahidi wa net tu wowote (wewe kama teamo unaweza kukataa ushahidi huo, lakini usidanganye umma kuwa hizo si reputable journals)
.......................wewe lete ushahidi wa kutoka kwenye journal papers pia kama unao......but i guess not! 😀
if you say so....!
 
SHIDA INAANZIA HAPA!...
na kwakweli watanzania wengi wanaangamia kwasababu shida inaanzia hapo....!

wazungu wenu wamewaandikia pia kwenye ma-journal NDOA ZA WANAUME KWA WANAUME NI RUXA...!lakini kwasababu ni wazungu POA!

watu kama ninyi endeleeni tu kubeba box...!msije bongo


heeii...ngash2ka mbee...lol
 
Teamo ....................huo u enginer wako uliupata kwa kufata theory na data za Mbongo au Muafrika? Usikute huyo mwalimu wako kasoma huko huko kwa wazungu ndo akaja kukufunza wewe!

Waafrika hatuna tabia ya kudocument vitu na wala kuvi publish ( visingizio kuwa vyuo havina pesa), kwa nini tusifanye reference vitu ambavyo vimekubalika duaniani lkn tukubali maneno matupu ya Muafrika!?

BOXI walibeba na kurudi bongo wakawa walimu wenu vyuo vikuu................ukitaka usitake mkuu theory za mzungu na experimental results zake unazifuata tu
 
VERY UNPRACTICAL!....
wadanganye wanao danganyika!
mi sidanganyiki kwa ma-journal ya ajabu ajabu

Basi wewe una lako jambo. Si muda wote unahangaika na scientific proofs? Zimewekwa hapo halafu unahaha kutafuta mlnago wa kutokea!!!!:disapointed:
Soma hapa?
Results consistently demonstrated that male participants preferred women with lower SES. Female participants, in contrast, preferred men with higher SES. These sex differences were more pronounced when a long-term romantic relationship rather than a one-night stand was being considered. In addition, men's lower reported likelihood of romantic contact with a woman with high SES was due to her high educational level rather than her high income. Mediational analyses showed that men perceived a potential partner with high educational level as less likeable and less faithful, and thus reported less likelihood of romantic contact.
Journal of Experimental Social Psychology
Volume 43, Issue 2, March 2007, Pages 180-194
 
kwa utaalamu wa gaijin wa kutumia mitandao vibaya naweza kudisplay 50 successive marriages (PRACTICAL ONES) ambazo wanawake ni matajiri wakubwa!kwasababu ni swala la kutype tu na ku-search.

sasa huyu anakuja na maungwini page miambili lol!:rip::rip::rip:
Successive marriages ni zipi?

Unawezaje kuijua successive marriage ya mtu mwingine? Kuna wanandoa unawaona wanatembea na kucheka kwa furaha mbele za watu wakiwa nje........ Wanapokuwa ndani.......Lakini laiti kuta zingekuwa zinasema ungeshangaa ya kusikia........
 
Kwa kawaida pesa haiwezi kuchukua nafasi ya mwanaume. Ni kweli baadhi ya wanaume wanaogopa kuoa wanawake wenye pesa na wapo wanaume wanaotaka kuoa wanawake wenye pesa.Mwenye kuamua uolewe au usiolewe ni wewe mwanamke kwa namna utakovyo kuwa unaishi ikiwa pamoja na kauli zako katika harakati za maisha. Nijuavyo mimi kwenye ndoa hatuoi au kuolewa na pesa, elimu, ama social status.Tunaoa au kuolewa na mtu (personality) tukitegemea maisha yenye furaha, Kwa sababu kufurahi ndicho kitu kinachopendwa na wengi.Mtu anaweza kuoa mwanamke asiye na pesa asipate furaha.Kwa sababu kufurhi ni pamoja na kuthibitisha kuwa wewe ni mwanamke au mwanaume kwelikweli, uthibitisho kuo huanzia kwenye ndoa na unaextend kwenye mambo mengine.Kuwa na pesa bila mume haviwezi kukuletea furaha.Ndoa ni jambo muhimu sana liletalo furaha ikitokea umeolewa au kuoa the right man or woman respectively. Kwa mwanamke mwenye pesa, endelea kutafuta pesa, ishi maisha yenye staha, tawala pesa zako, usitawaliwe na pesa, ishi simple life, usinjionyeshe kuwa unapesa, wala unahitaji la kuolewa. Wapo wanaume wa maana wanaotaka wanawake wa aina hiyo, watakufuata, na wewe usijirahisi walakuwa mgumu sana.Test to prove mtu anakuhitaji wewe na siyo pesa zako maana lolote laweza tokea kwenye maisha pesa zikaisha.Kama mtu kakuoa wewe na siyo pesa, pesa zikiisha wewe unaendelea kuwepo na ndoa inadumu na akioa pesa zako na siyo wewe pesa zikiisha na ndoa inaisha.
 
Wandugu za leo,

Hivi ukikutana na mwanamke umempenda na unatamani awe wako wa milele (kumuoa) lakini unakuta bahati nzuri (au mbaya kwa wengine) huyo mwanamke yuko safi kimaisha kazi nzuri kama pesa anazo kama mali anazo pia (sio hawa wamama watu wazima hapana wadada tu wenye umri unaofaa kuolewa) utamuoa hata kama wewe huna thamani ya kiuchumi aliyo nayo?

kwa nini nimeuliza hivi, kwa sababu katika mazungumzo ya kawaida tu jana kuna rafiki yangu akaniambia watu wataogopa kutangaza nia kwangu nikiendelea kujijenga kimaisha and it got me thinking.

Sasa wanaume utamuoa tu huyo dada hata kama wewe hali yako si fresh? na wadada utakuwa bread provider kwa huyo mumeo? mapenzi yana nafasi yake na pia uwezo kiuchumi una nafasi. zamani haikuwa hivi lakini kadri siku zinavyozidi kusonga mbele mambo yanabadilika

JS vipi tena! mapenzi kama yapo ya kweli kabisa hujali kwamba huyo umpendaye ana mapesa kiasi gani awe mwanamke au mwanaume, lakini kama unafuata penzi la pochi basi hapo kuna tatizo na mara nyingi penzi halitadumu kwa muda mrefu hasa ikitokea michuzi ikiamua kuingia mitini.

Kama jamaa hana hata kazi ya kuweza kujitimizia mahitaji yake muhimu na kukutegemea wewe kwa kila kitu basi hapo kuna tatizo tena kubwa vinginevyo ni poa tu.

 
JS vipi tena! mapenzi kama yapo ya kweli kabisa hujali kwamba huyo umpendaye ana mapesa kiasi gani awe mwanamke au mwanaume, lakini kama unafuata penzi la pochi basi hapo kuna tatizo na mara nyingi penzi halitadumu kwa muda mrefu hasa ikitokea michuzi ikiamua kuingia mitini.

Kama jamaa hana hata kazi ya kuweza kujitimizia mahitaji yake muhimu na kukutegemea wewe kwa kila kitu basi hapo kuna tatizo tena kubwa vinginevyo ni poa tu.

Unaweza kurudia tena hapo? Pesa ni kitu kingine bana. On the other side of the coin, kama mwanamke hana kazi ya kuweza kujitimizia mahitaji yake bado ndoa inadunda.

Hoja imerudi pale pale, mwanamke akikuzidi kipato ni hatari kwa ndoa yako. Nazungumzia uzoefu, Teamo usiniulize scientific proof hapa tafadhali.
 
VERY UNPRACTICAL!....
wadanganye wanao danganyika!
mi sidanganyiki kwa ma-journal ya ajabu ajabu

Unaweza kurudia tena hapo? Pesa ni kitu kingine bana. On the other side of the coin, kama mwanamke hana kazi ya kuweza kujitimizia mahitaji yake bado ndoa inadunda.

Hoja imerudi pale pale, mwanamke akikuzidi kipato ni hatari kwa ndoa yako. Nazungumzia uzoefu, Teamo usiniulize scientific proof hapa tafadhali.


hivi huyu journal zake ni magazeti ya Shigongo?
 
Inategemea na jinsi makuzi yako yalivyokuwa wengine dada zetu mkiwa na uwezo tu hata ukisalimiwa kujibu mpaka umthathimini juu mpaka chini sasa hapo inabidi tukuogope
 
hivi huyu journal zake ni magazeti ya Shigongo?

hahah kaizer bwana ...................labda yeye jornals zake ni 'hansad' za vikao vya bar 😛 (sehemu ile huwa na knowledge kubwa sana ambayo huwezi kui tap kwenye journal tu)

asprin........................mimi sikuulizi na nakubaliana na uzoefu wako japo sio kwa wanaume wote 😀
 
Nimesoma post zote hakuna hata mdada mmoja alie sema kua yeye kamzidi uwezo mumewe na mambo yanaenda! So JS utampata wa level yako!
 
Wandugu za leo,

Hivi ukikutana na mwanamke umempenda na unatamani awe wako wa milele (kumuoa) lakini unakuta bahati nzuri (au mbaya kwa wengine) huyo mwanamke yuko safi kimaisha kazi nzuri kama pesa anazo kama mali anazo pia (sio hawa wamama watu wazima hapana wadada tu wenye umri unaofaa kuolewa) utamuoa hata kama wewe huna thamani ya kiuchumi aliyo nayo?

kwa nini nimeuliza hivi, kwa sababu katika mazungumzo ya kawaida tu jana kuna rafiki yangu akaniambia watu wataogopa kutangaza nia kwangu nikiendelea kujijenga kimaisha and it got me thinking.

Sasa wanaume utamuoa tu huyo dada hata kama wewe hali yako si fresh? na wadada utakuwa bread provider kwa huyo mumeo? mapenzi yana nafasi yake na pia uwezo kiuchumi una nafasi. zamani haikuwa hivi lakini kadri siku zinavyozidi kusonga mbele mambo yanabadilika

Kwa kawaida katika mila nyingi mwanaume ni mtawala wa nyumba ukiachilia kwa ndugu zetu kina Msimbe ambao huwa wanatawaliwa. Kuatwala maana yake kuwa safi katika nyanja zote. Inapotokea mwanamke kuwa na hali njema ya kipato kuliko mwanaume inakuwa tayari tatizo la kisaikolojia. Huyo mwanaume hata kama hata nyanyaswa atahisi kuwa ananyanyaswa. Kwa hali ya kawaida kuna uwoga kwa wanaume wengi kuoa wanawake kama hao.

Mie niliapa siwezi kuoa mwanamke eti kwa uzuri wake bali awe na hali nzuri ya kiuchumi na akili. Kwa kweli hiyo imenisaidia sana. Leo nakamua na kakazi kangu kazuri Senior Lecturer Chuo Kikuu flani nje ya nchi na mama Senior HR katika sekata flani hapo bongo. Uendeshaji wetu wa familia umekuwa rahisi na mzuri sana kwa wote tunashirikiana in terms of kipato.

Jiulize kwanini maprofesa wengi wake zao ni mama wa nyumbani au wallimu wa upe?
 
Successive marriages ni zipi?

Unawezaje kuijua successive marriage ya mtu mwingine? Kuna wanandoa unawaona wanatembea na kucheka kwa furaha mbele za watu wakiwa nje........ Wanapokuwa ndani.......Lakini laiti kuta zingekuwa zinasema ungeshangaa ya kusikia........
kwa jinsi ilivyo kujua successive marriages,ndio hivyo hivyo ngumu kuthibitisha hilo mnalolitetea!
 
JS vipi tena! mapenzi kama yapo ya kweli kabisa hujali kwamba huyo umpendaye ana mapesa kiasi gani awe mwanamke au mwanaume, lakini kama unafuata penzi la pochi basi hapo kuna tatizo na mara nyingi penzi halitadumu kwa muda mrefu hasa ikitokea michuzi ikiamua kuingia mitini.

Kama jamaa hana hata kazi ya kuweza kujitimizia mahitaji yake muhimu na kukutegemea wewe kwa kila kitu basi hapo kuna tatizo tena kubwa vinginevyo ni poa tu.

sasa hapo ndio hoja inapolala!
swala nI:
1)kutokuwa na kazi
2)kuzidiwa kipato
 
Back
Top Bottom