Kutoa dozi ya maana.kujali hisia za mkeo
Nothing...Kila mwanaume anataka kuona mwanamke wake anaishi vizuri huku akiwa na utulivu na furaha muda wote bila kurubuniwa na wakware.
Je nini humridhisha mwanamke katika mahusiano?
Kama Mungu alimwandalia mazingira mazuur ya kuishi lkn hakuridhika, je unahisi wewe mwanadamu utaweza kumridhisha tenaKila mwanaume anataka kuona mwanamke wake anaishi vizuri huku akiwa na utulivu na furaha muda wote bila kurubuniwa na wakware.
Je nini humridhisha mwanamke katika mahusiano?
Kwahiyo hayo mafundisho ukiyapata kazi yake ni nini au kuishi na mifugo nyumbani kama mbwa paka na kuku embu fafanuaHakuna mafundisho yanayo itwa JINSI YA KUISHI NA MWANAMKE.
Bali kuna MAFUNDISHO YA NDOA.
Ukipitia mafundisho ya ndoa ndipo utajifunza hitaji la msingi la MKE na hitaji la msingi la MUME kwenye ndoa
if you give hela she will bring bankrupt
Wewe unajali hisia za mumeo?kujali hisia za mkeo
Ingekuwa hela ni suluhu ya hili tatizo kama wengi mnavyoamini basi Mzee Mengi asingeachana na mke wake mkubwa na kupata furaha na amani kutoka kwa Jacqueline. Mwanamke ni kiumbe wa ajabu sana ulimwenguni.Tafakari.Mkuu
Nampa hela
Nampa hela
Nampa hela tu
Nampa hela tu na Nampa hela..
Kwanini asijipende mwenyewe? Kila MTU na hali yake. YebooooMwanamke anahitaji kupendwa
She will bring valuable materials!if you give hela she will bring bankrupt
Hii imetughalimu sana wanaume. U anapomfanya mwanamke special kweli mwanzo yanakuwa sawa. Akishazoea hiyo hali hiyo attention yako haioni tena, anaanza kudai vingine zaidi mpaka vinageuka kero kwa mwanaume. Pamoja na kwamba humu mnadai mnataka mwanaume anayejali uzoefu unaonyesha haichukia muda mrefu wanawake hukinai kule kujali anakopenda toka kwa mwanamke. Nilichojifunza lazima mwanaume uwe kote kote. Ukijali zaidi ni sababu tosha ya kuja kuachana na umpendae. Wanawake hawapendi mwanaume anayewakubalia kila kitu. Wanataka siku nyingine unakataa kuwa upande wake. Inasaidia kuwa control la sivyo hujisahau kabisa na usishangae akaenda kwa mwanaume anayemzaba vibao we umekalia eti unajali sana.kujali hisia za mkeo
Hii imetughalimu sana wanaume. U anapomfanya mwanamke special kweli mwanzo yanakuwa sawa. Akishazoea hiyo hali hiyo attention yako haioni tena, anaanza kudai vingine zaidi mpaka vinageuka kero kwa mwanaume. Pamoja na kwamba humu mnadai mnataka mwanaume anayejali uzoefu unaonyesha haichukia muda mrefu wanawake hukinai kule kujali anakopenda toka kwa mwanamke. Nilichojifunza lazima mwanaume uwe kote kote. Ukijali zaidi ni sababu tosha ya kuja kuachana na umpendae. Wanawake hawapendi mwanaume anayewakubalia kila kitu. Wanataka siku nyingine unakataa kuwa upande wake. Inasaidia kuwa control la sivyo hujisahau kabisa na usishangae akaenda kwa mwanaume anayemzaba vibao we umekalia eti unajali sana.
Wewe unajali hisia za mumeo?[/QUOT
kama yeye ananijali bas nami nitamjali ! kama hanijali bas nami hvyo hvyo!