Huyo anataka kukupotosha ukweli kama mlikutana hizo tarehe hiyo mimba % zote ni yako labda hayo maswala mengine mliyopishana.Kweli heee! Tulikutakana tareh 06 na 07 Mwezi w 8 2015 kajifungua tarehe 15/04/2016, mbona naona incubation period inaangukia 9 months na siku kadhaa
Ebu nidadavulie mkuu, si unajua papara za kutaka mtoto pia zinaweza kuwa zinasababisha.
Poa mkuu wa mipango thabiti na kupiga peku bila kuchunguza kama wazazi wake na wa kwako ni wabaguzi kidini wala kutotafakari kama demu anakubana sana lakini ukajilipua mzae mtotoMay labda kwa jinsi ulivonielewa kwa bado sijakomaa ila mi najijua nimekomaa, na Mipango yangu ni thabiti
Documentation kwangu ni muhimu, ninalo file la nyaraka mbali mbali za Manunuzi na mambo mengine
Ninao uwezo mzuri tu wa kuhudumia lkn ndo vikwazo vidogo vidogo
Hiyo sio story ya kutunga ndo hali halisi
Ahsante kaka, nami nimekuwa na hofu sana na jinsi anavyojiamini, huenda tupo mtu 2, nadhani ushauri wako unafaa kiasi flani
Hiyo si hela ya saloon ya siku moja my dear???hahahahahahahaha mwenzangu kwani hiyo total nayo inaleta kelele
Wakati ndo huu! Sijayasikia kwa mtu yamenikuta. Anajiamini nini? Wengine hupiga magoti utokezee angalau wamjue baba mtoto! Huenda kuna mshikaji anajulikana wewe ni wa kutoa tu hela.Subiri utatumwa na kwa wajomba zake na mashangazi na utalazimishwa kuwaachia hela. Yaani hawa viumbe wasikie tu kwa wenzako. Kama vipi gharamia kitu kimoja.Fungua kesi mahakamani uombe DNA akikubali/akigoma lipa af ukisha hakikisha ni wako toa matumizi kadri ya uwezo wako kuepuka lawama za mtoto atakapokua. Otherwise utazunguushwa mpaka basi. Mi this time hata salam sitoi.Kwetu anapajua, na wewe uelewe ipo siku nafsi itamsuta hata kama ni ukubwani atakuja tu. Na utamueleza tabia za mama yake ambazo ndo kisa cha kutomlea mwenyewe. Yaani anavojishebedua mbona anakupunguzia uzito wa majukumu!
Hiyo si hela ya saloon ya siku moja my dear???
Poa mkuu wa mipango thabiti na kupiga peku bila kuchunguza kama wazazi wake na wa kwako ni wabaguzi kidini wala kutotafakari kama demu anakubana sana lakini ukajilipua mzae mtoto
Mipango thabiti na uzembe jalili... lethal combinenga!!
Ushauri mkubwa msiwe mnazaa zaa huku na kule jamani mnawatesa watoto, labda itokee sababu zilizo nje ya uwezo kama vile mwenzio afariki, kama unaona au bado hujawa na uhakika na ndoa bora utumie condom....
Mwisho nakuombea huyo mtoto asiwe wako usiniulize kwa nini.
Huyo anataka kukupotosha ukweli kama mlikutana hizo tarehe hiyo mimba % zote ni yako labda hayo maswala mengine mliyopishana.
Achananae ila jitahidi utie mimba mapema tena kWa huyo mpenzi mpya
Kanisani wanajua?
Umeshabatizwa tena?
Naumia sana, namuomba niende kumuona hataki, nikituma hela anapokea vizuri ingawa leo kanijumlishia hela yote nilokwisha tuma jumla 215000 ambazo ni kidogo , na mm nakiri sikuwajibika ipasavyo kwa sababu sikushirikishwa ipasavyo.