Mwanamke ananikatalia kumuona mtoto

Mwanamke ananikatalia kumuona mtoto

nyilaegenge

Senior Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
198
Reaction score
105
Poleni na majukumu ndugu,
Last year nilikuwa na mpenzi wangu ambaye nilikuwa na mpango wa kumuoa na bahati mbaya nilikuja kugundua sitoweza kumuoa kwa sababu

1. Imani ( yeye ni muislam na mimi mkristo ingawa yy alikubali wazazi wake walikataa na wa kwangu pia hawakupenda)
2. Tabia, nilimshindwa tabia yake maana alikuwa ananibana sana kwa wivu mpk nikakosa raha ya mahusiano, pia ni jeuri kwa tabia ingawa na Mimi ni jeuri pia hivyo nikaona hatutaweza kuonana
3. Kabila lake pia wazazi wangu hawakulipenda kbs hasa mama

Wakati flani nilisafiri kikazi kwenda ktk huo mji na baadaye nikaugya huko hivyo nikamwambia baadaye akaja hotelini nilipofikia na kuwa karibu na mimi tena. Hapo ndipo mimba ilishika ilikuwa Aug.2015 na baadaye akanambia ana mimba, nilishtuka nitaenda tukapima ndo nikabaini hiyo mimba ya wiki 2 , akaanza nisisitiza niende kwao, sikukubaliana nae akanitishia hataki kupokea matumizi nikasema pouwa tu, baadaye akawa ananitishia kama ndugu zake watakuja kunitafuta ila nilimwambia waje tu maana hapajui kwangu pia sio mwanafunzi hivyo nilikuwa na amani.

Niliwahi kuomba ruhusa kazini kwenda kumuona lkn nilivofika sikufanikiwa kumuona maana alinikatalia kwa madai kwamba mpk nikamuombe msamaha baba yake kitu ambacho sikuwa tyr kufanya ila nilimpanga dada na ma Mdogo waende huko kwao yy alikataa kwa madai wao hawajampa mimba natakiwa niende Mimi sasa kwa vile vitisho niliiogopa kbs kwenda.

Sasa kajifungua hataki tareh 15 Mwezi huu na sikupewa taarifa, na nilijua baada ya kupiga simu yake akapkea mtu aliyekuwa anamhudumia, hata jinsia ya mtoto siijui, ingawa ananambia amemuita jina la dini yao,
Naumia sana, namuomba niende kumuona hataki, nikituma hela anapokea vizuri ingawa leo kanijumlishia hela yote nilokwisha tuma jumla 215000 ambazo ni kidogo , na mm nakiri sikuwajibika ipasavyo kwa sababu sikushirikishwa ipasavyo.

Napenda mtoto, sipendi ateseke mwanangu , nataka nimuone nimhudumie , ila yeye ananikoromea kwamba mtoto ni wake na ndugu zake maana mimi hawanijui. Baba kanambia niachane naye maana Mwezi w 8 nitafunga ndoa na mpenzi Wang ambaye nimemuelewa, Nami nimemwambia binti Ahsante kwa ushirikiano maana nimegundua Mimi sio mgumbaIla nikikaa roho inaniuma ,Nataka nimleee mwanangu na mpenzi wangu ananisisitiza nisimtelekeze mtoto,

Naombeni ushauri ndugu ZANGU nifanyaje?
 
Jaribu kuwa mpole nenda kwao kafanye anavyotaka yeye ili umpate mwanao,yeye anatetea upande wake ww umesha muharibia tayari.
 
Nashukuru kwa ushauri wenu nipo napitia ndugu zang
 
Jaribu kuwa mpole nenda kwao kafanye anavyotaka yeye ili umpate mwanao,yeye anatetea upande wake ww umesha muharibia tayari.

Mimi kwao siwezi kwenda maana niwababe kwa jinsi binti alivyonifrustrate juu ya hasira ya ndugu zake, angekubali mzee angeweza kwenda lkn hataki,
 
Brother acha kiburi na uoga jiweke level ya chini kabisa nenda na mtu mzima sio lazima wazazi wako huko utaeleweka.
 
Nna imani mpaka unataka kuoa umeshakua Mwanamme kamili wakuweza kuchukua majukumu,elewa kua mwanamke
nikiumbe dhaifu sana na hasa anapokua mama,mzazi mwenzio amekua na kiburu sababau ya kosa labda na hakupata ushirikiano wako wakati ma ujauzito na niamini mda ule unahitaji sana kua na mwenzio mlie shiriki lile tendo ili mfurahie
kila mtoto wenu akikua tumboni ila yeye hakupata,jaribu jaribu kuondoa EGO na hutokosa au hutaumia uki apologies
kwa mzazi mwenzio wala kwa mazazi baba yake na mama mtoto wako, zaidi utafaidika,kua karibu sana na mtoto wako na
hata huyo unae muoa utamuelewa kwenye mapungufu yake, sisemi usimsikilize Baba lakini kumbuka yeye nafasi yake kwa
mtoto wako ni Babu wewe ni BABA wa mtoto,am sure unataka umpe mwanao maisha bora kwa kadri ya uwezo wako,
unaposema umegundua wewe si mgumba,je kama yule akiwa ndio mtoto wako wa mwisho hutopata tena mtoto utajisikiaje?
jee mke utakae oa akiwa hawezi kupata ujauzito?

Usiwe hivyo mwenyezi mungu ndio anajua maisha ya kila mtu usikubali kumuacha mtoto wako akakosa malezi na
Mapenzi ya Baba,waache wao wawe kibri lakini wewe unafanya kwa ajili ya mtoto wako na kumbuka Sio lazima
Ushinde kila ugomvi kushindwa nako pia ni ushindi sababu umekubali matokeo... sorry kama ntakua nimesema sana..
 
dogo wewe kigeugeu..hata tukikupa ushauri baba yako anaweza kukuambia usifuate ushauri wa jf. Jibu maswali haya kisha nijuwe dozi ya ushauri inayokufaa usije ukajiuwa bureee.
1- umri wako ni gani?
2- unaishi kwako au kwa wazazi wako?
3- kwanini unataka kuoa? je wazazi wamekulazimisha au wewe mwenyewe umeamua?
4- kwenu wewe ni mtoto wa ngapi kuzaliwa na mko wangapi?
5- kwanini hukutaka kwenda kwa wazazi wa mwanamke uliyemtia ujauzito?
6- una uhakika kuwa mimba ni yako? kivipi?
7- ulitumia kipimo gani kujua mimba ni ya wiki 2?
8- nisaidie level yako ya elimu?...diploma degree masters au phd?
9- ndoa ni nini kwa mujibu wa imani yako ya dini?
10- unaoa mwezi wa 8, ulianza lini mahusiano na huyo unayemuoa au ulikuwa nao wawili kwa wakati mmoja?
11- unajiona ukiishi kwenye ndoa mpya na wakati unampenda mzazi mwenzio na kutamani kumllea mtoto uliyezaa na mzazi mwenzio?
12- umemwambia mzazi mwenzio kuwa "kuna mtoto ulizaa na mwanamke mwingine ila umekimbia kumuoa?
lete majibu nikupe dozi ya ushauri.
 
Nna imani mpaka unataka kuoa umeshakua Mwanamme kamili wakuweza kuchukua majukumu,elewa kua mwanamke
nikiumbe dhaifu sana na hasa anapokua mama,mzazi mwenzio amekua na kiburu sababau ya kosa labda na hakupata ushirikiano wako wakati ma ujauzito na niamini mda ule unahitaji sana kua na mwenzio mlie shiriki lile tendo ili mfurahie
kila mtoto wenu akikua tumboni ila yeye hakupata,jaribu jaribu kuondoa EGO na hutokosa au hutaumia uki apologies
kwa mzazi mwenzio wala kwa mazazi baba yake na mama mtoto wako, zaidi utafaidika,kua karibu sana na mtoto wako na
hata huyo unae muoa utamuelewa kwenye mapungufu yake, sisemi usimsikilize Baba lakini kumbuka yeye nafasi yake kwa
mtoto wako ni Babu wewe ni BABA wa mtoto,am sure unataka umpe mwanao maisha bora kwa kadri ya uwezo wako,
unaposema umegundua wewe si mgumba,je kama yule akiwa ndio mtoto wako wa mwisho hutopata tena mtoto utajisikiaje?
jee mke utakae oa akiwa hawezi kupata ujauzito?

Usiwe hivyo mwenyezi mungu ndio anajua maisha ya kila mtu usikubali kumuacha mtoto wako akakosa malezi na
Mapenzi ya Baba,waache wao wawe kibri lakini wewe unafanya kwa ajili ya mtoto wako na kumbuka Sio lazima
Ushinde kila ugomvi kushindwa nako pia ni ushindi sababu umekubali matokeo... sorry kama ntakua nimesema sana..

Noted @ Maneno ya hekima haya
 
kwani wewe unataka nini hasa
kama huwezi kufanya mzazi mwenzako anavyotaka, basi tulia, oa umpendaye, then subiri mtoto aje akutafute mwenyewe utu uzimani
 
Binafsi sioni tatizo linalo kukosesha raha hapo.
Kwakua tayari umejaribu mara kadhaa kuweza muona mwanao na umejijuta unakutana na vizingiti toka kwa team ukweni.... Sasa wewe piga kimya na tambua kwamba hapo hauna ugomvi na huyo mama mtoto wako, bali una ugomvi na familia ya kwao na mama mtoto wako.
Lakufanya wepiga kimya na kata habari ya kutuma matumizi, kisha kata mawasiliano.
Huyo mtoto kama ni wakwako kweli hakuna haja ya kuhangaika, wakati ukifika mama wa mwanao atakutafuta mwenyewe pale atakapo ona maji yamemfika shingoni, then utamchukua mwanao kiulainiiiii.......m
 
dogo wewe kigeugeu..hata tukikupa ushauri baba yako anaweza kukuambia usifuate ushauri wa jf. Jibu maswali haya kisha nijuwe dozi ya ushauri inayokufaa usije ukajiuwa bureee.
1- umri wako ni gani?
2- unaishi kwako au kwa wazazi wako?
3- kwanini unataka kuoa? je wazazi wamekulazimisha au wewe mwenyewe umeamua?
4- kwenu wewe ni mtoto wa ngapi kuzaliwa na mko wangapi?
5- kwanini hukutaka kwenda kwa wazazi wa mwanamke uliyemtia ujauzito?
6- una uhakika kuwa mimba ni yako? kivipi?
7- ulitumia kipimo gani kujua mimba ni ya wiki 2?
8- nisaidie level yako ya elimu?...diploma degree masters au phd?
9- ndoa ni nini kwa mujibu wa imani yako ya dini?
10- unaoa mwezi wa 8, ulianza lini mahusiano na huyo unayemuoa au ulikuwa nao wawili kwa wakati mmoja?
11- unajiona ukiishi kwenye ndoa mpya na wakati unampenda mzazi mwenzio na kutamani kumllea mtoto uliyezaa na mzazi mwenzio?
12- umemwambia mzazi mwenzio kuwa "kuna mtoto ulizaa na mwanamke mwingine ila umekimbia kumuoa?
lete majibu nikupe dozi ya ushauri.

hahahahahahahaaha haya maswali hata NECTA ina afadhali
 
hahahahahahahaaha haya maswali hata NECTA ina Haya maswali kama ya Polisi, anyway nitajaribu kujibu kadri nitakavyoona vyema.
1. Umri wang unakaribia 30
2.ninaishi kwangu, nipo mkoa tofauti na kwetu kikazi
3.nimeamua mwenyew kuoa baada ya kuona inafaa kufanya hivo
4.mtt 3 kati ya 4 na kiume peke
5.nilijua watanilazimisha mimuoe wkt tyr nilikuwa nshaachana na mpango w kumuoa, pia nilitaka niwahusishe watu wakubw kwangu ili tulimalize
6.vipimo vya kawaida UPT na pia tulienda hospital moja kubwa hapo MzA hivyo umri wa mimba ulibainika kitaalam na nikaamini pia muda wa kujifungua
Mfano alishika mimba kati ya tareh 6 au 7 Aug amejifungua 15 April na hii ukishacalculate na menstrual cycle yake
Ma nurses wa najua
8. Shahada ya SUA
9. Maana ya ndoa, tafuta miongozo ya kikristo hasa wasabato
10.huyu Mdada Mpya tulianza 0ct. 2015 na pia Namfahamu vizuri maana olvl nimesoma naye Applx 3 yrs kabla hajaamia shule ingine
11. Mzazi mwenzangu simpendi labda kama mzazi kwamba niliwahi kuwa naye pia ana mtoto
12. Hili umelichanganya swali ila
Mchumba huyu anafahamu kbs kwamba kuna mtu nilimpa mimba bahati mbaya, ni muelewa sana Nashukuru kuwa naye na amekuwa akinisisitiza kutomtelekeza mtoto na wkt mwingine amekuw akinishauri nitoe matumizi mtt akikua nimudai kisheria ingawa sina ndao naye
 
hahahahahahahaaha haya maswali hata NECTA ina afadhali

Karibu Who cares, nimejaribu kujibu kadri ninavyoweza ingawa vingine nimeficha kwa msingi wa jina langu pia limefichwa
Lkn nadhani hizi tasaidia kunipa ushauri mzuri Ahsante sana
 
Nim
Poleni na majukumu ndugu,
Last year nilikuwa na mpenzi wangu ambaye nilikuwa na mpango wa kumuoa na bahati mbaya nilikuja kugundua sitoweza kumuoa kwa sababu
1. Imani ( yeye ni muislam na mimi mkristo ingawa yy alikubali wazazi wake walikataa na wa kwangu pia hawakupenda)
2. Tabia, nilimshindwa tabia yake maana alikuwa ananibana sana kwa wivu mpk nikakosa raha ya mahusiano, pia ni jeuri kwa tabia ingawa na Mimi ni jeuri pia hivyo nikaona hatutaweza kuonana
3. Kabila lake pia wazazi wangu hawakulipenda kbs hasa mama

Wakati flani nilisafiri kikazi kwenda ktk huo mji na baadaye nikaugya huko hivyo nikamwambia baadaye akaja hotelini nilipofikia na kuwa karibu na mimi tena.
Hapo ndipo mimba ilishika ilikuwa Aug.2015 na baadaye akanambia ana mimba, nilishtuka nitaenda tukapima ndo nikabaini hiyo mimba ya wiki 2 , akaanza nisisitiza niende kwao, sikukubaliana nae akanitishia hataki kupokea matumizi nikasema pouwa tu, baadaye akawa ananitishia kama ndugu zake watakuja kunitafuta ila nilimwambia waje tu maana hapajui kwangu pia sio mwanafunzi hivyo nilikuwa na amani
Niliwahi kuomba ruhusa kazini kwenda kumuona lkn nilivofika sikufanikiwa kumuona maana alinikatalia kwa madai kwamba mpk nikamuombe msamaha baba yake kitu ambacho sikuwa tyr kufanya ila nilimpanga dada na ma Mdogo waende huko kwao yy alikataa kwa madai wao hawajampa mimba natakiwa niende Mimi sasa kwa vile vitisho niliiogopa kbs kwenda.
Sasa kajifungua hataki tareh 15 Mwezi huu na sikupewa taarifa, na nilijua baada ya kupiga simu yake akapkea mtu aliyekuwa anamhudumia, hata jinsia ya mtoto siijui, ingawa ananambia amemuita jina la dini yao,
Naumia sana, namuomba niende kumuona hataki, nikituma hela anapokea vizuri ingawa leo kanijumlishia hela yote nilokwisha tuma jumla 215000 ambazo ni kidogo , na mm nakiri sikuwajibika ipasavyo kwa sababu sikushirikishwa ipasavyo
Napenda mtoto, sipendi ateseke mwanangu , nataka nimuone nimhudumie , ila yeye ananikoromea kwamba mtoto ni wake na ndugu zake maana mimi hawanijui.
Baba kanambia niachane naye maana Mwezi w 8 nitafunga ndoa na mpenzi Wang ambaye nimemuelewa,
Nami nimemwambia binti Ahsante kw ushirikiano maana nimegundua Mimi sio mgumba
Ila nikikaa roho inaniuma ,
Nataka nimleee mwanangu na mpenzi wangu ananisisitiza nisimtelekeze mtoto,
Naombeni ushauri ndugu ZANGU nifanyaje?

Nimesoma vipengele vitatu tu vya mwanzo wala sijaendelea:

- Dini tofauti
- Ana wivu
- Wazazi Hawamtaki
- Ni mkorofi na Mimi ni mkorofi?

Hukujua haya yote kabla hujalala naye?

Huna haki ya kumwona mtoto, si sawa.
 
Nim


Nimesoma vipengele vitatu tu vya mwanzo wala sijaendelea:

- Dini tofauti
- Ana wivu
- Wazazi Hawamtaki
- Ni mkorofi na Mimi ni mkorofi?

Hukujua haya yote kabla hujalala naye?

Huna haki ya kumwona mtoto, si sawa.

Naendelea kucompile ushauri, Ahsante ndugu
 
kwani wewe unataka nini hasa
kama huwezi kufanya mzazi mwenzako anavyotaka, basi tulia, oa umpendaye, then subiri mtoto aje akutafute mwenyewe utu uzimani
Jumla ya hela zote ambazo aliwahi kumtumia ni 215,000!!! [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom