ndugu yako
Senior Member
- Mar 30, 2013
- 193
- 97
Tokea nimebalehe mpaka muda huu nmekuwa na mahusiano na wasichana tofauti tofauti (hawazidi watano) mambo yote katika mahusiano huwa naplay sawa sawa kabisa isipokuwa moja tu, kudekeza!
kila mwanamke ninayekuwa naye huwa ananilalamikia/ananiambia nina tatizo moja kubwa et sijui kudekeza!!!
Sasa leo nimeona imekuwa too much nimeamua nijifunze, wakuu naomba mnisaidie kunifundisha namna ya kumdekeza mwanamke please.
Nitashukuru saaaana kwa msaada wenu.
kila mwanamke ninayekuwa naye huwa ananilalamikia/ananiambia nina tatizo moja kubwa et sijui kudekeza!!!
Sasa leo nimeona imekuwa too much nimeamua nijifunze, wakuu naomba mnisaidie kunifundisha namna ya kumdekeza mwanamke please.
Nitashukuru saaaana kwa msaada wenu.