Mwanamke Ana sehemu tatu za kushibishwa

Mwanamke Ana sehemu tatu za kushibishwa

Raymanu KE

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2022
Posts
10,626
Reaction score
19,930
Kwa wale mnaowapenda wake zenu hakikisheni kwamba mnawashibisha katika sehemu tatu zifuatazo;

Sikioni
Hakikisha unamsifia mkeo kwa kauli nzuri nzuri za mahaba.Jitahidi Kila unapokuwa naye unamwambia maneno matamu jinsi alivyoumbika na kuwa na uzuri wa kipekee uliokufanya umchague yeye kuliko wanawake wengine wote.

2.Mdomo
Hapa ndipo ule msemo maarafu wa " Mwanaume tafuta PESA" unapoingilia.Hangaika kutafuta pesa ili uweze kumlisha mkeo ashibe.Hakikisha mkeo anakula vizuri na kushiba.Usimuache mkeo aanze kutamani maisha ya wenzie eti kwa sababu wao wanalishwa na kuvishwa vizuri.Pambana ili uweze kumtimizia mahitaji yake kwa wakati unaofaa.

3.Ufundi kitandani
Muoneshe mkeo ufundi wa kitandani mpaka akutolee macho [emoji23]
Piga show za nguvu chumbani Hadi uhakikishe amefika kibo na mawenzi.Haijalishi umejaliwa kibamia au mhogo wa chang'ombe ili muonyeshe ufundi na urijali wako.

Nawasilisha.

1645685258235.png
 
Mambo ya kuhangaika na mwanamke ili tu umtosheleze hayo tumewaachia under 30. Sisi ni pesa tu,maana mwanamke hatosheki hata umfanyeje. Eva usifikiri alikuwa hatoshelezwi na Adam,mpaka akarubuniwa na shetani. Usifikiri Delila alikuwa hatoshelezwi na Samson mpaka akamuuza.
 
Kwa wale mnaowapenda wake zenu hakikisheni kwamba mnawashibisha katika sehemu tatu zifuatazo;



Nawasilisha.
Nani amekuambia mwanamke anatosheka,hao viumbe umewakuta na waache walivyo. Tuendelee kudai katiba mpya huku tusisahau Mbowe siyo gaidi. ''waulize Microsoft na bilionea msuya''
 
Mambo ya kuhangaika na mwanamke ili tu umtosheleze hayo tumewaachia under 30. Sisi ni pesa tu,maana mwanamke hatosheki hata umfanyeje. Eva usifikiri alikuwa hatoshelezwi na Adam,mpaka akarubuniwa na shetani. Usifikiri Delila alikuwa hatoshelezwi na Samson mpaka akamuuza.
Delilah: huyu alikuwa ni kahaba na pale alienda kama spy kwaiyo ata kama angetoshelezwa ilikuwa ni lazma atimize lengo lililompeleka kwa samson.

Eva: huyu alikuwa ni adam pro max, alikuwa na akili kumshinda adam ushahidi ebu angalia alivyokuwa na uwezo wa kujibishana na nyoka pale bustanini alafu angalia na adam alivyo shindwa ata kuoji juu ya tunda alipoletewa na Eva. Ndio maana ukitaka mahusiano yako yawe vizuri akikisha umemmzidi dem wako akili pia sio pesa tu.

Ngoja kwanza nimalizie wanzuki yangu
 
Delilah: huyu alikuwa ni kahaba na pale alienda kama spy kwaiyo ata kama angetoshelezwa ilikuwa ni lazma atimize lengo lililompeleka kwa samson.

Eva: huyu alikuwa ni adam pro max, alikuwa na akili kumshinda adam ushahidi ebu angalia alivyokuwa na uwezo wa kujibishana na nyoka pale bustanini alafu angalia na adam alivyo shindwa ata kuoji juu ya tunda alipoletewa na Eva. Ndio maana ukitaka mahusiano yako yawe vizuri akikisha umemmzidi dem wako akili pia sio pesa tu.

Ngoja kwanza nimalizie wanzuki yangu
🤣🤣🤣
 
Delilah: huyu alikuwa ni kahaba na pale alienda kama spy kwaiyo ata kama angetoshelezwa ilikuwa ni lazma atimize lengo lililompeleka kwa samson.

Eva: huyu alikuwa ni adam pro max, alikuwa na akili kumshinda adam ushahidi ebu angalia alivyokuwa na uwezo wa kujibishana na nyoka pale bustanini alafu angalia na adam alivyo shindwa ata kuoji juu ya tunda alipoletewa na Eva. Ndio maana ukitaka mahusiano yako yawe vizuri akikisha umemmzidi dem wako akili pia sio pesa tu.

Ngoja kwanza nimalizie wanzuki yangu
Ukirudi nitag🙇
 
Back
Top Bottom