Mwanamke aliyechezesha akili za scientists

Aiseeeeh!
Joka la kibisa mimi nilijua ni mwanaume ------- asiyedinda kumbe ina maana tofauti ya infertility male.
 
Yah kikubwa kama jamaa kawapenda na kakubali kuwalea basi hao ni wanawe wa kihalali
Pia alielewa kuwa mke wake alifanya yote yale ili pia kumlindia yeye heshima kwenye jamii, unajua jamii zetu bila mtoto unaonekana hujakamilika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…