Mwanamke aliye tayari kuzaa anatakiwa

Mwanamke aliye tayari kuzaa anatakiwa

chaphuka

Member
Joined
Jan 29, 2014
Posts
59
Reaction score
9
Asiwe na Miaka 40 asiwe chini ya Miaka 24 awe na Kazi inayompatia Kipato. Gharama zote za kumtunza, kusomesha Mwanangu zitakuwa zangu,ila hakuna kuoana kwa aliye tayari aje inbox.
 
Soon kutakua na machine za kuwazalia watoto wenu, kuwa mpole technology haichelewi
 
haha huyu naye anatafuta shamba la kusia mbegu zake wenye vitalu njooni huku
 
Asizidi miaka 40 naasiwe chini ya miaka 24 awe na kazi inayoeleweka inayomuingizia kipato, gharama zote za kumtunza na kumsomesha mwanangu zitakuwa juu yangu,lla hakuna kuoana kwa aliye tayari aje inbox

ujanani ulikuwa wapi kuzaa
 
Utamlipa sh ngapi kwa kujirizk maisha na kukuzalia mtoto? Hesabu ya pesa muhimu sio kuuziana mbuzi kwenye gunia!
 
Mie sio mzee ni 38 yrs old na ninao watoto wawili sihitaji mahusiano ya kudumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom