Mwanamke aliye mnyang'anya bunduki ilaha apewa laki 5 zawadi

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,268
33,040
Mwanamke shujaa.jpg

Mwanamke aliyepambana na jambazi na kufanikiwa kumnyang’anya bunduki aina ya SMG, Sophia Manguye (46), amepewa zawadi ya Sh 500,000 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu Tarime/Rorya, Gemini Mushy.

Je unadhani zawadi hii imeendana na kazi aliyofanya Mama huyu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom