Je, Ni sahihi kwa mama kuzikataa hela za polisi baada ya kupambana na majambazi?

Nov 13, 2015
34
37
Mwanamke kutoka Mara ndio amechukua headlines wakati huu, anaitwa Sophia Steven na umri wake ni miaka 46, kwa mujibu wa riporter kutoka Mara, mwanamke huyu alizawadiwa na Jeshi la Polisi kiasi cha Sh. laki 5 baada ya
kupambana na majambazi na kufanikiwa kumpokonya mmoja bunduki aina ya SMG.

Sophia anasema hii sio mara yake ya kwanza kuvamiwa na Majambazi, ilishawahi kutokea mwaka 2014 nyumbani kwake na akapambana hivyohivyo na Jambazi mmoja lakini Sophia akazidiwa nguvu baada ya Jambazi huyo kuita
wenzake, wakamsaidia na walimjeruhi sana mama huyu.

Polisi wamesema silaha Sophia aliyompokonya Jambazi huyo ni bunduki ya kivita na inatakiwa kumilikiwa na serikali tu, bunduki hii imekutwa na risasi 27, mama huyu alijitoa kimasomaso kuhakikisha anamdhibiti mtu aliyekua amebeba silaha hii, tunampongeza sana alisema Kamanda Mushi, kamanda wa mkoa wa kipolisi Rorya.

Je wanajamii, ni sahihi kwa jeshi la polisi kumpa hela huyu mama?
 
Mwanamke kutoka Mara ndio amechukua
headlines wakati huu, anaitwa Sophia Steven na
umri wake ni miaka 46, kwa mujibu wa riporter
kutoka Mara, Mwanamke huyu alizawadiwa na
Jeshi la Polisi kiasi cha Sh. laki 5 baada ya
kupambana na majambazi na kufanikiwa
kumpokonya mmoja bunduki aina ya SMG.
Sophia anasema hii sio mara yake ya kwanza
kuvamiwa na Majambazi, ilishawahi kutokea
mwaka 2014 nyumbani kwake na akapambana
hivyohivyo na Jambazi mmoja lakini Sophia
akazidiwa nguvu baada ya Jambazi huyo kuita
wenzake, wakamsaidia na walimjeruhi sana
mama huyu.
Polisi wamesema silaha Sophia aliyompokonya
Jambazi huyo ni bunduki ya kivita na inatakiwa
kumilikiwa na serikali tu, bunduki hii imekutwa
na risasi 27, ‘ Mama huyu alijitoa kimasomaso
kuhakikisha anamdhibiti mtu aliyekua amebeba
silaha hii, tunampongeza sana ‘ alisema
Kamanda Mushi, kamanda wa mkoa wa kipolisi
Rorya.
Je wanajamii, ni sahihi kwa jeshi la polisi kumpa hela huyu mama?
hvi huyu mama si zaidi ya hao wanaotoa mafunzo kwa mapolisi wetu.apewe kitengo cha kuawafunza polisi wetu.maana nasikia wakisikia mlio bunduki mbio
 
Unachofikir ni tofaut na ulicho andika, maguful ana kaz ya ziada na wafanyakaz wake.
 
Hata kama unalazimisha watu waje kusoma uzi wako siyo kwa staili ya hip hop na mnada kwenye sahani moja
 
Mkuu mbona heading haihusiani kabisa na habari yenyewe!?? Kwani sijaona sehemu ulipoandika kuwa amezikataa! Kweli nakubaliana na vile vipaumbele ELIMU, ELIMU, ELIMU.
Huwa nasema hapa kila siku kiswahili kigumu sana.
 
Mwanamke kutoka Mara ndio amechukua headlines wakati huu, anaitwa Sophia Steven na umri wake ni miaka 46, kwa mujibu wa riporter kutoka Mara, mwanamke huyu alizawadiwa na Jeshi la Polisi kiasi cha Sh. laki 5 baada ya
kupambana na majambazi na kufanikiwa kumpokonya mmoja bunduki aina ya SMG.

Sophia anasema hii sio mara yake ya kwanza kuvamiwa na Majambazi, ilishawahi kutokea mwaka 2014 nyumbani kwake na akapambana hivyohivyo na Jambazi mmoja lakini Sophia akazidiwa nguvu baada ya Jambazi huyo kuita
wenzake, wakamsaidia na walimjeruhi sana mama huyu.

Polisi wamesema silaha Sophia aliyompokonya Jambazi huyo ni bunduki ya kivita na inatakiwa kumilikiwa na serikali tu, bunduki hii imekutwa na risasi 27, mama huyu alijitoa kimasomaso kuhakikisha anamdhibiti mtu aliyekua amebeba silaha hii, tunampongeza sana alisema Kamanda Mushi, kamanda wa mkoa wa kipolisi Rorya.

Je wanajamii, ni sahihi kwa jeshi la polisi kumpa hela huyu mama?
Huna akili. Ulichokiandika hakiendani na heading. Elimu, Elimu, Elimu. Hiyo sera ingekukwamua kutoka gizani ulipo.
 
kumpaaa pesa pekee yake haitoshi maana mama kawafanyia kitu mbaya sana hao majambazi.kawasababishia hasara kubwa sana genge lote la hao majambazi hawata kubali kushindwa au kupiga kimya.soon watataka kufanya malipizi kwa huyo mama kwa kusababisha wapoteze zana yao ya kazi.

hivyo ni vema polisi wakampa pia ulinzi.
na ingekuwa vizuri sana makachale wa polisi au usalama watege mtego wakumfuatilia huyu mama bila ya yeye kujua nyendo zake zote kuna kitu kipya watakipata.

iwe usiku au mchana wamfuatilie kwa wanaweza wakawanasa hao majambazi wakitaka kumdhuru tena.kwa kulipiza kisasi
 
Back
Top Bottom